Shetani katawala katika mahusiano

Shetani katawala katika mahusiano

April26

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2020
Posts
1,405
Reaction score
2,147
Wana JF kwema!

Kiufupi siku hizi wàpenzi wengi hukutana kupitia njia za shetani kuliko njia za muumba (sahihi).

Mfano; msichana anapenda Mali, pesa n.k, toka kwa kijana na kijana nae anapenda chura tuu basi mahusiano button ON.

Hizi ni tamaa sio mapenzi. Kama unawaza kuwa na mpenzi kwa kudhani unampenda kwa kuwa ana kitu fulani nje na hulka (behaviour) wewe ni agent wa shetani.

Mnaonana kishetani, mnapeana appointment kishetani, mnazini kishetani, mawasiliano yenu ni kishetani hakuña hata chembe ya hofu ya Mungu.

Mtaishia kuachana tena kishetani.

Uzi tayari.
 
Sijasema mke mkuu, nimesema kukutana na kuanza mahusiano before marriage.
 
Wana JF kwema!

Kiufupi siku hizi wàpenzi wengi hukutana kupitia njia za shetani kuliko njia za muumba (sahihi).

Mfano; msichana anapenda Mali, pesa n.k, toka kwa kijana na kijana nae anapenda chura tuu basi mahusiano button ON.

Hizi ni tamaa sio mapenzi. Kama unawaza kuwa na mpenzi kwa kudhani unampenda kwa kuwa ana kitu fulani nje na hulka (behaviour) wewe ni agent wa shetani.

Mnaonana kishetani, mnapeana appointment kishetani, mnazini kishetani, mawasiliano yenu ni kishetani hakuña hata chembe ya hofu ya Mungu.

Mtaishia kuachana tena kishetani.

Uzi tayari.
Ukisha kosa roho mtakatifu ndani ya nafsi yako then jiandae kufanya maamuzi yatayokupeka katika umauti tu mbeleni.....

Vijana wengi wamepandikiza mbegu zao katika uzazi wa mwanamke ambaye hana utakaso wa nafsi wala hajatubu madhambi yake anaishi katika uchafu wa nafsi.

Na shauri vijana ukikutana na mwanamke ambaye unahisi unaweza kufanya nae maisha na yeye pia yupo tayari kufanya maisha na wewe then muhusishe viongozi wa kweli wa kiroho wenye kumjua MUNGU na hofu ya MUNGU (Sio hawa wasanii wa mjini wanaojiita mitume au watumishi) wawaongoze toba kila mojawapo.

Muombe utakaso wa nafsi na kuachana na maisha ya kishetani na yasiyompendeza MUNGU. Uzinzi usiwe tena sehemu ya maisha yenu.

Mrejee utu na ubinadamu na mzingatie sana mafundisho ya vitabu vya MUNGU. Msimamie ukweli kati yenu na kujaliana.

Mkiendelea na hizi tabia za kuzaa watoto hovyo bila heshima ya ndoa na mahusiano tutakuja kuwa na kizazi cha laana sana siku zijazo. Turejee misingi.
 
Back
Top Bottom