ww unapendea nini maana turekebishe kidogo! 😷Mfano; msichana anapenda Mali, pesa n.k, toka kwa kijana na kijana nae anapenda chura tuu basi mahusiano button ON
unafanya kazi?Tabia njema mkuu.
bdo npo kwenye uzi kijana nijibu tuendelee.. 😆Kazi na hii thread kuna mahusiano gani mkuu??
ndugu mkeo anaweza akawa na tabia njema! lakini bila pesa! ikawa mtihaniKazi na hii thread kuna mahusiano gani mkuu??
kwa hyo lengo lako uanzishe mahusiano machafu yenye tabia njema?Sijasema mke mkuu, nimesema kukutana na kuanza mahusiano before marriage.
Ukisha kosa roho mtakatifu ndani ya nafsi yako then jiandae kufanya maamuzi yatayokupeka katika umauti tu mbeleni.....Wana JF kwema!
Kiufupi siku hizi wàpenzi wengi hukutana kupitia njia za shetani kuliko njia za muumba (sahihi).
Mfano; msichana anapenda Mali, pesa n.k, toka kwa kijana na kijana nae anapenda chura tuu basi mahusiano button ON.
Hizi ni tamaa sio mapenzi. Kama unawaza kuwa na mpenzi kwa kudhani unampenda kwa kuwa ana kitu fulani nje na hulka (behaviour) wewe ni agent wa shetani.
Mnaonana kishetani, mnapeana appointment kishetani, mnazini kishetani, mawasiliano yenu ni kishetani hakuña hata chembe ya hofu ya Mungu.
Mtaishia kuachana tena kishetani.
Uzi tayari.
Pesa kiasi gani.... Hata laki ni pesa ujuendugu mkeo anaweza akawa na tabia njema! lakini bila pesa! ikawa mtihani
Achani basi utoto.... Mwenzako anaongea maneno ya utakaso wewe unaleta mzaha.Hamna namna nasema waachane tu
Maneno ya mkosa adabu haya mbona upo hivyo....Mkuu kwani hii dunia ni yetu..??