Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Kuna patternsLakini halina uhusiano anwai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna patternsLakini halina uhusiano anwai
Hata ulicho andika hapa kuhusu Shetani sikweli.Nao ni mtazamo tu 😁
Dah Nimeelewa Hii inahitaji D mbili aisee..Nenda taratibu daktari
Bado mzee 😁, hujaelewa endelea kunywa maji ya baridi kwa wingi huku ukitafakari !. Maana yawezekana maisha n mtazamo tu wala sio uhalisia !,nchi ya ahadi yenye maziwa na asali ilikuwepo toka nyakati za wana waisraeli lakini Miongoni Yohane mbatizaji alipendelea kula nzige na asali 😂 chakula pendwa sana ,bila kusahau mikate isiyotiwa chachu yaan kizazi hiki huiita mabumunda 😆Dah Nimeelewa Hii inahitaji D mbili aisee..
Ni Code Ngumu sana..
Nimejitahidi Nimeelewa ni Maswala ya Kula Keki na Maziwa na asali kwenye Ile nchi ya Ahadi
Sasa wewe huyo shetani umemtoa wapi?Nature ya mwanadamu ni tamaa ,uchu na husda!!,lakini tunapaswa kuepuka dunia itakuwa mahali salama pa kuishi
Shetani ni nani??? Lugha ya picha ,ngoja nkupe clarification hapa mtaalam!!Sasa wewe huyo shetani umemtoa wapi?
Hakuna cha maandiko matakatifu wala bibi yake utakatifu.Shetani ni nani??? Lugha ya picha ,ngoja nkupe clarification hapa mtaalam!!
1. Maandiko matakatifu mfano, Katika Biblia, shetani anaweza kuonekana kama mpinzani wa Mungu, akijaribu watu ili wakiuka maagizo ya Mungu.
Shetani ni nini?2. Kwa lugha ya falsafa na itikadi za ki- falsafa za Nietzsche, shetani anaweza kuwa mfano wa ukosoaji wa maadili ya jadi, akionyesha upinzani dhidi ya imani zisizo na msingi.
Ukishasema masimulizi hata hadithi za uwepo wa Dragons 🐉 watemao moto midomoni mwao zina ingia humo humo.3. Masimulizi ya kale na tamaduni nyingi, shetani au roho mbaya huwakilisha nguvu za giza zinazoshawishi watu kufanya maovu, kama vile Hades katika mytholojia ya Kigiriki.
Shetani ni illusion.4. Sanaa na fasihi inatunabaishakwamba, kazi kama "Faust" ya Goethe, shetani anaweza kuwakilisha tamaa za kibinadamu na matokeo ya kujiingiza katika maamuzi mabaya.
5. Jamii inatambua kuwa nyakati zingine, shetani anaweza kuwakilisha dhana za ubaguzi na chuki katika jamii, akionyesha maovu ya kibinadamu katika mifumo ya kijamii nk.
👉🏾lugha hio ya picha
Nimeelewa Sema Umetumia Lugha Tamu lakini wale wa unanijua Mimi ni nani wakikukamataBado mzee 😁, hujaelewa endelea kunywa maji ya baridi kwa wingi huku ukitafakari !. Maana yawezekana maisha n mtazamo tu wala sio uhalisia !,nchi ya ahadi yenye maziwa na asali ilikuwepo toka nyakati za wana waisraeli lakini Miongoni Yohane mbatizaji alipendelea kula nzige na asali 😂 chakula pendwa sana ,bila kusahau mikate isiyotiwa chachu yaan kizazi hiki huiita mabumunda 😆
Lakini siimeandikwa utafuteni kwanza ufalme wa Mungu na hayo mengine mtazidishiwa 😂, wacha wakombe maokotoWatumishi wengi Sana wa shetani, wamejiingiza kwa Siri kwenye kundi la Watumishi wa Mungu, hivyo wanalarua kondoo bila ya huruma
Sijanasabisha bali nimekokotoa mantiki ya dhima nikaelewa nasaba isiyoweza kuendana nayo hii sanifuUmefanya dhima nyumbulifu ,lakini si chagizo lengwa