Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,670
Man created GOD and DEVEL in their on imagination, mungu na shetani anawaishi kwenye akili zetu tu,in reality hajawahi kuwepo na hawapoShetani hayupo kiuhalisia, shetani ni kiumbe wa kufikirika aliyetengenezwa na mwanadamu ili yeye mwanadamu akikosea kitu fulani apate wa kumsingizia.
Mungu haimuhusuMnaposema shetani alishindwa vita mbinguni na kutupwa duniani, ina maana Mungu ni mpenda vita. Na kauli ya "samehe 70×70 hata mara moja Mungu hakumsamehe shetani, itakuwaje binadamu tusamehe mara 70 ? Hadithi nyingine ni uwongo mchana kweupe.
Cheaf nilikuta darkweb huko ngoja nikurudi nitakuja na faili zima,wametudanga muda mrefu sana hawa jamaa.Mkuu hii concept ipoje 😂
Shetani ni nafsi yenye ushindani/kupinga( go against) na mamlaka halali ya Mungu. Nafsi hiyo inaweza ikawa ya mwanadam au kiumbe chochote ...na vilevile inaweza kuwa ni hali ya kudumu au kwa kipindi Fulani cha muda kulingana na utendaji wake.Maswali yanaendelea....
Mungu ndiye chanzo cha yote[kwa wale wanaoamini] je ndio chanzo cha mbegu ya uasi wa shetani?
Kwanini laana ya Mungu iendelee kutafuna vizazi hata vizazi kwa kosa lililofanywa na watuwawili waliombwa na Mungu mwenyewe?
Kuna mahali kokote kwenye biblia pameonesha shetani aliko? Ni wapi kama hapajaoneshwa tunaanzaje kumchora shetani kama ndio chanzo cha haya maasi yote?
Au shetani ni sisi wenyewe? Na hapa duniani ndio makao yetu?
Nitaendelea na maswali kadri mada itakavyo endelea
MUHIMU÷ Naomba swali la thibitisha kwanza kama mungu yupo lisubiri kwanza. Tumsake kwanza huyo shetani kama kweli yupo.
Karibuni
Shetani ni roho !! na ndiyo maana roho hiyo mbaya ina uwezo wa kumwingia mtu yoyote popote pale alipo..likewise Mungu ni Roho pia, na ndiyo maana ulipo yupo na nawe pia ukimwita. Choice is yours unataka roho gani ikuingie ulipo.Ni wapi kama hapajaoneshwa tunaanzaje kumchora shetani kama ndio chanzo cha haya maasi yote?
AaK4 cShetani ni nafsi yenye ushindani/kupinga( go against) na mamlaka halali ya Mungu. Nafsi hiyo inaweza ikawa ya mwanadam au kiumbe chochote ...na vilevile inaweza kuwa ni hali ya kudumu au kwa kipindi Fulani cha muda kulingana na utendaji wake.
NamAaK4 c
Kwenye usilama ni ala ndiye alimshawishi.Maswali yanaendelea....
Mungu ndiye chanzo cha yote[kwa wale wanaoamini] je ndio chanzo cha mbegu ya uasi wa shetani?
Kwanini laana ya Mungu iendelee kutafuna vizazi hata vizazi kwa kosa lililofanywa na watuwawili waliombwa na Mungu mwenyewe?
Kuna mahali kokote kwenye biblia pameonesha shetani aliko? Ni wapi kama hapajaoneshwa tunaanzaje kumchora shetani kama ndio chanzo cha haya maasi yote?
Au shetani ni sisi wenyewe? Na hapa duniani ndio makao yetu?
Nitaendelea na maswali kadri mada itakavyo endelea
MUHIMU÷ Naomba swali la thibitisha kwanza kama mungu yupo lisubiri kwanza. Tumsake kwanza huyo shetani kama kweli yupo.
Karibuni
Sema ala.Mungu ndo alomshawishi aasi.
Una swali lingine?
Ala ndio niniSema ala.
Aisee asante kwa maatifa mapya. Ningetamani uendelee zaidiShetani ni Cheo - Title of anyone/anything that does evil.
Kama unataka kujua aliko Lucifer, malaika mkuu aliyeongoza uasi mbinguni, kwa mujibu wa kitabu cha Enock, amefungwa katika mbingu ya tano. (you can download it in play store)
Kwa mujibu wa Enoch, Mbingu zimegawayika katika levels 1-10.
level za chini wako malaika waangalizi wa wanadamu, the watchers- ambao ndiyo walioasi makazi hayo na wakaja duniani wakamingle na mabinti wa wanadamu (Mwanzo 6) on contract to exposing/teaching humans Technology, na the product of their relationship eith daughters of men walizaliwa majitu-wanefili in hebrew or Anunakis in aramaic.
mbingu ya tatu, ambayo hata Mtume Paul alionyeshwa ni paradisho.
according to the book of enoch (which can easily be downloaded in play store) those who were cast under the earth via the desert of Dudael (unknown place) ni captains of the watchers waliofundisha uovu mwingi kwa wanadamu baada ya kujitwalia wake/mabinti wa wanadamu, these are Azazel, Semyaza, baraqueel etc...ndiyo waliofundisha kuhusu vita, silaha, uchawi, unajimu etc hasa Azazeli ambaya hata anatajwa katika Biblia, Mambo ya Walawi 16:1-8
To clean their mess Mungu aliwafunga akawatupa chini shimoni, na ili kuua the giants-nephilims or anunakis he brough gharika wakati wa Nuhu. but they pleaded so much to God via Enoch na Mungu akasema the spirits of giants can not enter heaven, zitabaki kuwa roho zinazorandaranda na kuishi katika milima na maji hapa duniani. The spirits of giants became evil spirits (Enoch chapter 9)
Shetani yupo hapa hapa duniani:
"Bwana akamwuliza Shetani, Umetoka wapi wewe? Ndipo Shetani akamjibu Bwana, na kusema, Natoka katika kuzunguka-zunguka duniani, na katika kutembea huku na huku humo."
(Yobu 1: )
Shetani yupo hapa hapa duniani
"Bwana akamwuliza Shetani, Umetoka wapi wewe? Ndipo Shetani akamjibu Bwana, na kusema, Natoka katika kuzunguka-zunguka duniani, na katika kutembea huku na huku humo."
(Ayubu 1: 7)
"Mwe na kiasi na kukesha; kwa kuwa mshitaki wenu Ibilisi, kama simba angurumaye, huzunguka-zunguka, akitafuta mtu ammeze."
(1 Petro 5: 8)