Sheta ndo upuuzi gani .
Kwani kuna ulazima gani wa kufanya kazi na Ali Kiba? Anyway, hata Ali Kiba nadhani hana mpango wa kufanya kazi na Shetta
Sure... dogo katumia busara sana kumjibu manake Misago kauliza swali la kichonganishi... eti "Unampango wa kufanya wimbo wa Ali Kiba"... ndo kama ulivyohoji... why Kiba... huyu jamaa kauliza makusudi kwavile anafahamu Shetta alishafanya kazi na Diamond kama mara 2 hivi... lakini kwa busara dogo kajibu hana mpango wa kufanya kazi na Kiba wala msanii mwingine yeyote yule hapa TZ... ajabu watu wanapindua--- yaani mtu hata kama hana mpango wa kufanya kazi na Kiba, kwa ajili ya kufurahisha timu Kiba basi anapaswa kusema "nitafanya kazi nae mwezi ujao...." aaaaargh, maajabu sana haya!Na kwann wamuulize kufanya kazi na ali kiba? Kwann specifically Kiba? Utaona ni Muendelezo wa majungu tuu... Na Ujinga Mwingi....!!! Dogo kajibu Poa, ila Mbwembwe nyingi... Mara international artists... Bongo tunashida kila Idara...
"Bonge la Star, Bonge La Njaa" alisema Fid Q.
Mi mwenyew nashangaa, kwa kujiongeza yule andunje mfyuuu
kwa muziki gani alokua nao shetta kutaka wasanii wa nje, mambo mengine tuangalieni sio mnaropoka na kudharau wasanii wa nyumbani..
Kaoshe Uso kwanZa. Uje utupe maana ya Upuuzi Kwanza.
Kazi yake kutaja mimi ndio baba kaira niniii nyokooo
Wewe ndo Sheta..??
Sijui hata mmekasirika nini? Naona kama hamkumwelewa shettah kasema nini?
Ha ha ha haaaa... Wabongo bhana. Mnajifanya mnamchukia wakat kutwa vinywan hamuishi kumuimba. Kama anakukera si Umpotezee? Ona mpaka mistar ya Verse zake mmezishika. Acheni Unafiki....
Shetta ndo nani?
Ha ha ha haaaa... Wabongo bhana. Mnajifanya mnamchukia wakat kutwa vinywan hamuishi kumuimba. Kama anakukera si Umpotezee? Ona mpaka mistar ya Verse zake mmezishika. Acheni Unafiki....
baba kayla
Unajuwa maana ya shetta? Shetta ni kijeba kijeba chenye upungufu wa lishe ambaye mfumo wa ukuwaji umecolapse.
Inaonekana Unamjua sana ali k' Hongera.