Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
umemchukia kwa kilichoandikwa hapa kwenye huu uzi ua ulimsikia akisema. okey tufanye ni kweli amesema kuna tatizo??? so kwa vile kiba anajua ndio kila mtu amshobokee??? ndio kiba ni mkubwa msanii mdogo akisema hana mpango wa kufanya nae kazi ni dhambi???? commmon guys acheni ushabiki maandazi, mpaka mnaonekana limbukeni sasa.
ulimbukeni wa kwangu mimi nilivyoanza kumpenda wala sikushauriwa na mtu nilimpenda mwenyewe binafsi
na alivyonikera mimi wala sihitaji ushauri wako
sawa dada?!!!
kila mtu na mtazamo wake
na unajua maana ya kunikera lakini au waandika tu kwa kua nimeandika hvyoo
kwani kukerekwa ndo kumchukia mtu
dada vp kwani heeee
sio lazima tufanane mitazamo km vidole so please km vp nipotezeee kimtindo