Shetta: Sitaki kukutana na watu

Shetta: Sitaki kukutana na watu

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,258
Mwanamuziki Sheta amesema kwamba kutokana na ratiba yake kuwa ngumu hapendi kukutana na watu na hata sasa amehama Kijitonyama


chanzo Clouds sasa hivi
 
Pia anajenga madale.ili awe karibu na simba.
 
Mswahili ! Ktk ubora wake, hutaki kukutana na watu duuh hiyo Kali, sasa unataka uwe unakutana na nani? May be mli m quote vibaya! Kwa mafanikio yapi!
 
Back
Top Bottom