Shetta siyo mtu wa mchezo mchezo amshika makalio Snura mbele za watu

Lete ubuyu hance bana mbona na wao wanasoma [emoji28][emoji28]wangekua hawapendi wangeenda siasani umbea hauna mwanamke wala mwanaume
 
Hii fasheni hii ya kuacha fani asilia na kuiga mambo ya phonerotica ili kutafuta kick yatawadidimiza wengi
Nilidhani haya nayaona pekeangu.
Amakweli, dunia ya sasa imevaa gagulo
 
Badili avatar weka ya kimbea, hiyo uliyoweka haifai kuongelea mambo haya ina hadhi kuliko haya unayoyaongea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…