Elections 2010 Shibuda ahamia CHADEMA

Elections 2010 Shibuda ahamia CHADEMA

Mtotigite

Member
Joined
Aug 11, 2009
Posts
40
Reaction score
3
Kuna tetesi za uhakika kuwa yule bwana mkubwa aliyetaka kuchukua form za kugombea kanyumba keupe(white house), amehamia chadema na tayari amechukua form za ubunge kupitia jimbo la maswa alilobwagwa kwenye kura za maoni za CCM. Mwenye uhakika amwage mambo hapa.
 
Litakuwa ni jambo jema katika kuleta changamoto ya kisiasa nchini
 
life.jpg
 
Mkenda 1000, mzee unamaanisha Shibula ni msikiti kwa nje lakini ndani ni ukumbi wa Disco??????? Hahaaaa hii kali:nod:
 
Yaani hapo sielewi kabisa!Sioni uhusiano wa picha hizi na hii habari hebu Mkenda tuweke wazi.
 
Huyu kachanganyikiwa,hajui analofanya maskini ya mungu sio ajabu hata hajui kama katuwekea hizi picha humu kwenye jukwaa Uchaguzi.
Tumsamehe bure.
 
Seleli nae aje pamoja na wapiganaji wengine manake walikuwa waende CCJ sasa haipo si mbaya kama wana nia nzuri na nchi yetu wajiunge chadema.
 
Sipendi kuona watu wanaokataliwa na CCM na kubaki bila jinsi ndio wanakuwa wagombea wa CHADEMA. Naelewa kuna temptation kwa CHADEMA kuwachukua kwa sababu wana name recognition, lakini naweza kumsikia Makamba akisema "Upinzani hawna kitu, wanangojea makombo ya CCM" na katika hili atakuwa right.

Kama hii habari ni kweli, hapa ninachoona ni kwamba Shibuda anataka ubunge kwa hila zote, na wala hajali siasa za vyama. Jambo la hatari sana hili.

Hamna kumpa ugombea ubunge wa CHADEMA huyu. Kuna watu wako CHADEMA miaka yote viongozi wa wilaya, wamejenga uanachama, halafu leo mtu atoke CCM mara moja apewe ugombea ubunge? Hata maji ya kijani hayajamuisha mwilini? Hii itakuwa mbaya sana kwa party morale, unles hao watu wa CHADEMA wa wilayani humo nao ni stooges tu wanaofanya siasa za hero worship and stongmen seeking.

Piga chini Shibuda, from presidential ambitions to no constituency. That's what you get for chickening on Kikwete and having no principle.
 
Sipendi kuona watu wanaokataliwa na CCM na kubaki bila jinsi ndio wanakuwa wagombea wa CHADEMA. Naelewa kuna temptation kwa CHADEMA kuwachukua kwa sababu wana name recognition, lakini naweza kumsikia Makamba akisema "Upinzani hawna kitu, wanangojea makombo ya CCM" na katika hili atakuwa right.

Kama hii habari ni kweli, hapa ninachoona ni kwamba Shibuda anataka ubunge kwa hila zote, na wala hajali siasa za vyama. Jambo la hatari sana hili.

Hamna kumpa ugombea ubunge wa CHADEMA huyu. Kuna watu wako CHADEMA miaka yote viongozi wa wilaya, wamejenga uanachama, halafu leo mtu atoke CCM mara moja apewe ugombea ubunge? Hata maji ya kijani hayajamuisha mwilini? Hii itakuwa mbaya sana kwa party morale, unles hao watu wa CHADEMA wa wilayani humo nao ni stooges tu wanaofanya siasa za hero worship and stongmen seeking.

Piga chini Shibuda, from presidential ambitions to no constituency. That's what you get for chickening on Kikwete and having no principle.

Inategemea umeshindwa kivipi kura za maoni. Kama umefanyiwa zengwe, wakati wewe ni kipenzi cha wanachama na wananchi, ni bora kuhama chama na wafuasi wako kama alivyofanya Slaa na kugombea nafasi hiyo hiyo kupitia chama kipya.
 
Sipendi kuona watu wanaokataliwa na CCM na kubaki bila jinsi ndio wanakuwa wagombea wa CHADEMA. Naelewa kuna temptation kwa CHADEMA kuwachukua kwa sababu wana name recognition, lakini naweza kumsikia Makamba akisema "Upinzani hawna kitu, wanangojea makombo ya CCM" na katika hili atakuwa right.

Kama hii habari ni kweli, hapa ninachoona ni kwamba Shibuda anataka ubunge kwa hila zote, na wala hajali siasa za vyama. Jambo la hatari sana hili.

Hamna kumpa ugombea ubunge wa CHADEMA huyu. Kuna watu wako CHADEMA miaka yote viongozi wa wilaya, wamejenga uanachama, halafu leo mtu atoke CCM mara moja apewe ugombea ubunge? Hata maji ya kijani hayajamuisha mwilini? Hii itakuwa mbaya sana kwa party morale, unles hao watu wa CHADEMA wa wilayani humo nao ni stooges tu wanaofanya siasa za hero worship and stongmen seeking.

Piga chini Shibuda, from presidential ambitions to no constituency. That's what you get for chickening on Kikwete and having no principle.
Natamani JF members wangejaliwa kusoma post yako hii! Hoja nzuri sana. Wapigwe chini wote wonderers wa ubunge, hawajali sera za chama, wanajali wapi wanaweza kwenda kujibanza na kubahatisha ubunge
 
Sipendi kuona watu wanaokataliwa na CCM na kubaki bila jinsi ndio wanakuwa wagombea wa CHADEMA. Naelewa kuna temptation kwa CHADEMA kuwachukua kwa sababu wana name recognition, lakini naweza kumsikia Makamba akisema "Upinzani hawna kitu, wanangojea makombo ya CCM" na katika hili atakuwa right.

Kama hii habari ni kweli, hapa ninachoona ni kwamba Shibuda anataka ubunge kwa hila zote, na wala hajali siasa za vyama. Jambo la hatari sana hili.

Hamna kumpa ugombea ubunge wa CHADEMA huyu. Kuna watu wako CHADEMA miaka yote viongozi wa wilaya, wamejenga uanachama, halafu leo mtu atoke CCM mara moja apewe ugombea ubunge? Hata maji ya kijani hayajamuisha mwilini? Hii itakuwa mbaya sana kwa party morale, unles hao watu wa CHADEMA wa wilayani humo nao ni stooges tu wanaofanya siasa za hero worship and stongmen seeking.

Piga chini Shibuda, from presidential ambitions to no constituency. That's what you get for chickening on Kikwete and having no principle.
Ni makosa kuchagua mbunge kwa misingi ya chama achaguliwe kwa uwezo wake hata kama ni mgombea binafsi.
 
Inategemea umeshindwa kivipi kura za maoni. Kama umefanyiwa zengwe, wakati wewe ni kipenzi cha wanachama na wananchi, ni bora kuhama chama na wafuasi wako kama alivyofanya Slaa na kugombea nafasi hiyo hiyo kupitia chama kipya.

Nakubaliana na Kiranga. Hauwezi kushindwa safari za ubunge leo hii halafu kesho asubuhi uka hama chama ili ugombee ubunge huo huo. It's non sense. Vyama vya siasa vina falsafa, sera na taswira tofauti. Principles za vyama vingi haviendani na nyingi hazi fungamani. Huwezi kuniambia leo hii una kubaliana na sera na falsafa za CCM halafu ghafla kesho una kubaliana na sera falsafa za chama kingine. Ni sawa sawa na umpende mwananmke/mwanaume halafu leo hii aachane na wewe halafu kesho tu ukawa na mpenzi mwingine. It will take time, you will move on lakini huku kubadilisha "mapenzi" ghalfa ndiyo inayo tia mashaka.

Kama ni mfuatiliaji mzuri wa michezo uta gundua kuwa timu nzuri ni zile zinazo kuza vipaji au kununua wachezaji nyota wakiwa on top of their game. Timu ikisha anza tu kununua wachezaji walio fulia au kuchemsha kwenye timu zingine hiyo ni dalili kwamba timu hiyo haina uwezo wa kuattract top talent wakiwa on top of their game. Je kwa nini ni wanasiasa wachache (au hamna kabisa) ambae huki hama CCM na kwenda upinzani wakati bado wana nguvu CCM? Kwa nini wanao hamia upinzani ni wale tu ambao wame kosa kupata nafasi fulani ndani au kupitia CCM?

Kwa hiyo mkuu wengi wa hawa "wazurulaji" hawa kiaidiii chama especially in the long term. Na wengi wa hawa mahamiaji (si wote) hawa dumu ndani ya vyama vyao vipya. Wengi wanao hamia upinzani baada ya kushindwa uchaguzi CCM huta futa vyeo huko na waki kosa na huko hutokomea au kurudi CCM. Kwa hiyo kuingiza has beens wa CCM inaweza kuonekana kama strategy nzuri short term ila long term una jaza chama na safu ya watu ambao hawata dumu na labda hata kuki punguzia credibility chama chako.
 
Nakubaliana na Kiranga. Hauwezi kushindwa safari za ubunge leo hii halafu kesho asubuhi uka hama chama ili ugombee ubunge huo huo. It's non sense.
Two words for you; Joe Lieberman
Vyama vya siasa vina falsafa, sera na taswira tofauti. Principles za vyama vingi haviendani na nyingi hazi fungamani. Huwezi kuniambia leo hii una kubaliana na sera na falsafa za CCM halafu ghafla kesho una kubaliana na sera falsafa za chama kingine.
Kwa bongo haya mambo ya falsafa bado sana. Unaweza kuniambia vyama vya siasa Tanzania ni vya mrengo gani?
Ni sawa sawa na umpende mwananmke/mwanaume halafu leo hii aachane na wewe halafu kesho tu ukawa na mpenzi mwingine. It will take time, you will move on lakini huku kubadilisha "mapenzi" ghalfa ndiyo inayo tia mashaka.
Mfano mbovu huu.
 
karibu sana Chadema MR. Shibuda

Naona CCM inaelekea kule KANU ya kenya ilikokuwa mwaka 1987/1988. Wana kanu shupavu walikihama chama na matokeo yake yalionekana 1992.
 
Back
Top Bottom