majina yatukuwa mengi tu pale itakapofika april 2010. Mtu kama ana nafasi ya uwaziri hataki kuipoteza mpaka 2010.
Potential candidate akitangaza sasa hivi kikwete anaweza hata kumzushia kesi. Na magazeti ya chama na maswaiba yataanza kumuandama.
Ndani ya ccm sasa hivi kuna muamko.
Mkuu,
Hawa watu hapa chini ndio unategemea wamgeuke JK? Labda kama tunaota ndoto.
2. Msekwa - Makamu Mwenyekiti
3. Ndugu Amani Abeid Amani Karume - Makamu Mwenyekiti(Zanzibar)
4. Ndugu Yussuf R. Makamba - Katibu Mkuu
5. Capt. (mst) George Huruma Mkuchika - Naibu Katibu Mkuu (Bara)
6. Ndugu Salehe Ramadhan Ferouz - Naibu Katibu Mkuu (Zanzibar)
7. Dr. Ali Mohamed Shein - Mjumbe
8. Ndugu Edward Ngoyai Lowassa - Mjumbe
9. Ndugu Shamsi Vuai Nahodha - Mjumbe
10. Alhaj Ali Hassan Mwinyi - Mjumbe
11. Ndugu Benjamin William Mkapa - Mjumbe
12. Mzee Rashid Mfaume Kawawa - Mjumbe
13. Dr. Salmin Amour - Mjumbe
14. Ndugu John Samwel Malecela - Mjumbe
15. Capt. (mst) John Zefania Chiligati - Mjumbe
16. Ndugu Amos Gabriel Makala - Mjumbe
17. Ndugu Bernard Kamilius Membe - Mjumbe
18. Ndugu Kidawa Hamid Saleh - Mjumbe
19. Ndugu Samwel John Sitta - Mjumbe
20. Ndugu Pandu Ameir Kificho - Mjumbe
21. Ndugu Anna Abdallah - Mjumbe
22. Ndugu Rostum Aziz - Mjumbe
23.Dr. Mohamed Gharib Bilal - Mjumbe
24. Ndugu Pindi Hazara Chana - Mjumbe
25. Ndugu Andrew Chenge - Mjumbe
26. Dr. Maua Abeid Daftari - Mjumbe
27. Ndugu Samia Suluhu Hassan - Mjumbe
28. Ndugu Mohamed Seif Khatib - Mjumbe
29. Ndugu Haji Omar Kheri - Mjumbe
30 . Dr. Abdallah Omari Kigoda - Mjumbe
31 . Ndugu Abdurahman Kinana - Mjumbe
32 . Ndugu Anne Semamba Makinda - Mjumbe
33. Ndugu Fatuma Said Ali Mchumo - Mjumbe
34 . Ndugu Zakia Hamdan Meghji - Mjumbe
35. Ndugu Omar Yussuf Mzee - Mjumbe
36. Ndugu Emmanuel John Nchimbi - Mjumbe
37 . Ndugu Ali Ameir Mohamed - Mjumbe
38. Ndugu Yussuf Mohd Yussuf - Mjumbe
Mtanzania, point yangu inabaki pale pale,kwamba ulisema ni maoni yao kina Malecela na yaheshimiwe,na mimi nikasema kutokana na migogoro iliyolikumba Taifa,ni muhimu maoni hayo yakatolewa kwa vigezo vya ufanisi wa kazi na si utamaduni....Mtanzania kwa viongozi wa kitaifa kuzungumza maneno kama hayo kwenye wakati kama huu wewe unaona ni kawaida? Hizo ni siasa za ndani za chama,lakini si ndio viongozi hao hao wa serikali?
Utamaduni wa kawaida kwa Taifa la watu wenye akili timamu ni kuchagua ama kupendekeza kioongozi kwa vigezo vya utendaji kazi na si utamaduni.
Na kama ni kweli kuna hatari ya ccm kuumbuliwa kwenye uchaguzi kwasababu ya ufisadi,then utamaduni hapo utakuwa questionable,tusubiri tuone,cha muhimu ni utendaji wake kupimwa kabla ya kukumbatia utamaduni.
Mtanzania nilisema niko neutral kwenye issue hii lakini nilitegemea maneno ya busara zaidi kutoka kwa viongozi wenye calibre ya Malecela na wenzake,kwamba vikao halali vya chama vitakaa kama taratibu zinavyosema,na katiba/kanuni za chama zitafuatwa wakati wa kumteua mgombea urais kwa tiketi ya ccm...Maneno kama hayo yangeonyesha kuwa tuna viongozi wenye busara,lakini kuja na kusema ni utamaduni kuteua mgombe urais mara mbili bila kupingwa ni kuonyesha less concern about the rality and the future of our nation.
mkuu,
hawa watu hapa chini ndio unategemea wamgeuke jk? Labda kama tunaota ndoto.
2. Msekwa - makamu mwenyekiti
3. Ndugu amani abeid amani karume - makamu mwenyekiti(zanzibar)
4. Ndugu yussuf r. Makamba - katibu mkuu
5. Capt. (mst) george huruma mkuchika - naibu katibu mkuu (bara)
6. Ndugu salehe ramadhan ferouz - naibu katibu mkuu (zanzibar)
7. Dr. Ali mohamed shein - mjumbe
8. Ndugu edward ngoyai lowassa - mjumbe
9. Ndugu shamsi vuai nahodha - mjumbe
10. Alhaj ali hassan mwinyi - mjumbe
11. Ndugu benjamin william mkapa - mjumbe
12. Mzee rashid mfaume kawawa - mjumbe
13. Dr. Salmin amour - mjumbe
14. Ndugu john samwel malecela - mjumbe
15. Capt. (mst) john zefania chiligati - mjumbe
16. Ndugu amos gabriel makala - mjumbe
17. Ndugu bernard kamilius membe - mjumbe
18. Ndugu kidawa hamid saleh - mjumbe
19. Ndugu samwel john sitta - mjumbe
20. Ndugu pandu ameir kificho - mjumbe
21. Ndugu anna abdallah - mjumbe
22. Ndugu rostum aziz - mjumbe
23.dr. Mohamed gharib bilal - mjumbe
24. Ndugu pindi hazara chana - mjumbe
25. Ndugu andrew chenge - mjumbe
26. Dr. Maua abeid daftari - mjumbe
27. Ndugu samia suluhu hassan - mjumbe
28. Ndugu mohamed seif khatib - mjumbe
29. Ndugu haji omar kheri - mjumbe
30 . Dr. Abdallah omari kigoda - mjumbe
31 . Ndugu abdurahman kinana - mjumbe
32 . Ndugu anne semamba makinda - mjumbe
33. Ndugu fatuma said ali mchumo - mjumbe
34 . Ndugu zakia hamdan meghji - mjumbe
35. Ndugu omar yussuf mzee - mjumbe
36. Ndugu emmanuel john nchimbi - mjumbe
37 . Ndugu ali ameir mohamed - mjumbe
38. Ndugu yussuf moh'd yussuf - mjumbe
mkuu
sasa chukulia watokee watu kama SAS,Mwandosya,Kigoda..au hata lowasa..watu wa type hiyo
halafu eti useme kikwete atapitishwa tu!!!
mtanzania naomba nikuulize swali.
Wakati ukijibu swali naomba ufanye kama huyu mtu hana uhusiano waki familia na mjumbe yoyote.
Tuseme dr hussein mwinyi atangaze anataka kugombea kwenye vyombo habari, fanya interview nini unadhani hii kamati inaweza kulitoa jina lake?
Nakumbuka nape nauye makelele sio mchezo, je jina la dr hussein itakuwaje?
Naomba jibu mtanzania...
mtanzania naomba nikuulize swali.
Wakati ukijibu swali naomba ufanye kama huyu mtu hana uhusiano waki familia na mjumbe yoyote.
Tuseme dr hussein mwinyi atangaze anataka kugombea kwenye vyombo habari, fanya interview nini unadhani hii kamati inaweza kulitoa jina lake?
Nakumbuka nape nauye makelele sio mchezo, je jina la dr hussein itakuwaje?
Naomba jibu mtanzania...
Mtarajiwa,
Hata mimi napenda mabadiliko lakini pia nimejifunza kuangalia jambo critically. Sasa kama hao wazee wenye majina hapo juu wanaweza wakafanya changes kwenye uongozi, itabidili niache kijiwe cha siasa.
Labda kutokea jambo kufikia hiyo 2010, ila sioni kivipi watu kama hao ambao kula yao yote inategeme rais aliyepo madarakani wamgeuke mtu huyo?
Wakitoka hapo anaanza kukamata mmoja mmoja, Chenge kwa ufisadi, Lowassa, Rostam nk.
Rais ana nguvu sana Tanzania sio rahisi kumwangusha kwa njia hiyo. Tunaweza tusipenda lakini ndio ukweli wenyewe.
Mtarajiwa,
Hata mimi napenda mabadiliko lakini pia nimejifunza kuangalia jambo critically. Sasa kama hao wazee wenye majina hapo juu wanaweza wakafanya changes kwenye uongozi, itabidili niache kijiwe cha siasa.
Labda kutokea jambo kufikia hiyo 2010, ila sioni kivipi watu kama hao ambao kula yao yote inategeme rais aliyepo madarakani wamgeuke mtu huyo?
Wakitoka hapo anaanza kukamata mmoja mmoja, Chenge kwa ufisadi, Lowassa, Rostam nk.
Rais ana nguvu sana Tanzania sio rahisi kumwangusha kwa njia hiyo. Tunaweza tusipenda lakini ndio ukweli wenyewe.
mkuu sawa kabisa tuwe critical hivyohivyo.mkuu hivi kuna ugumu gani kwa mfano kwa controversial figure kama Bilali kumgeuka Kikwete?Kula gani anayoitegemea Bilali kutoka kwa Kikwete?Huo ni mfano mmoja tu.Hata kama kuna kula wanategemea,sasa wakishammwaga Kikwete na kumuweka mtu wao kula si itaendelea kuwepo,ama?Kikwete akishaondolewa atapata wapi nguvu tena za kuwapeleka kina Chenge na Lowasa kisutu?
sijaelewa swali lako, lakini hivi unafikiri walilitoaje jina la malecela? Tena alikuwa anagombea na watu ambao sio marais. Walilitoaje jina la bilal?
Hivi una maana huyo dr. Mwinyi anafaa? Kwi kwi kwi!!!!
Unambwaga JK mwezi wa tano mwanzoni na kutegemea kiongozi mpya mwezi wa 11. Hiyo ya Bilali ndio sahau, si walitoa jina lake mwaka 2005, alifanya nini zaidi ya kukaa kimya?
Mimi nafikiri kitu cha kuombea ni CCM kugawanyika makundi mawili. Vinginevyo labda upinzani waweze kumshinda JK ingawaje na yenyewe kama ingelikuwa leo nafikiri uwezekano ni mdogo sana.
Tanzania tuna matatizo mengi sana kuanzia kwenye katiba. Katiba ambayo inampa rais uwezo mkubwa mno kiasi kwamba chochote anachota anaweza kufanya.
Ingeliwezekana upinzani kushinda kwenye ubunge na kuchukua nafasi ya PM ingelikuwa nzuri sana. Watanzania wangetaka kuona upande wa pili wa shilingi ukoje. Vinginevyo tutaendelea kuburuzwa tu. CCM wakiona hatari ya kushindwa inawakaribia, watabadilika. Wanatamba sasa kwasababu wana wabunge wengi mno.
- Yaaani Tanzania kweli tumefika mbali sana na hii vacuum ya uongozi wa juu, sasa tizama Shibuda naye akitafuta ushujaa katikati ya hii vacuum ya ajabu sana na yeye sio wa kwanza, tizama wengine kabla yake:-
1. Mangula - Baada ya kushindwa uenyekiti wa CCM mkowa wa Iringa, akalalama weee kua CCM imeoza na haifai ni ya mafisadi, masikini ya Mungu haya alikuja kuyaona baada ya kua katibu wa CCM for 10 years, na aliyaona pale tu aliposhindwa uchaguzi, na masikini sisi wananchi kwa kukosa mashujaa tukamshangilia kwa nguvu zote kwamba tawire!, hatukumuuliza vipi mbona hukusema kitu wakati wa Richimonduli? IPTL? RADAR? Chenge? Dowans? Kiwira? Uchaguzi wa rais 2005? Kuchafuliwa kwa Salim 2005? We arew so desparate of mashujaa kwamba it does not matter kwamba kwa nini hakusema kitu mapema kbala ya uchaguzi!
2. Msekwa - Aliposhidnwa tu uchaguzi wa Spika, akaanza kilio cha mbwa, kwamba CCM imeoza na haifai taifa linahitaji mgombea huru, again wananchi tukaamuka na kumshangilia kwa nguvu sana kwamba huyu naye ni shujaa, sasa amepewa mlo yote yale ya ushujaa yameisha, na sisi wananchi bado tunaendelea kutafuta shujaa mpya!
3. Kitine - Majuzi alitaka kununua nyumba ya serikali kule Obey, wahusika wakamkatalia, wooow! huyooo naye akakimbia kwa wananchi, haya hii CCM imeoza sana lazima zifanyike reforms, blah! blah! hao wananchi tukainuka tena vitini huyu asikilizwe huyu ni shujaa, ikatolewa order toka magogoni kuwa apewe ile nyumba haraka sana, alipoulizwa tena Kitine akasema waandishi walikosea kwa sababu hawakuripoti sawa sawa alichokisema!
4. Shibuda - Huyu naye sasa amezuka from no where, kama kawaida yetu tayari naye ni shujaa, oooh my God! What a country? What a wananchi? Shibuda alikuwa wapi siku zote kama kweli he is for real? What kama ameona ya Kitine kupewa anacholilia na yeye sasa ana yake? Kwa nini hawa waandishi hawawaulizi hawa wakuu maswali serious? Siku zote Shibuda alikuwa wapi? Amewahi kufanya nini cha maana katika uongozi wake kwa taifa? Mbona huwa hatumsikii mpaka tu wakati wa uchaguzi?
Mungu Aibariki Tanzania.
FMES.
Kuhusu Shibuda, kama wengi walivyo sema pamoja na weakness zake, lakini ameisha onyesha hiyo nia kwenye uchaguzi uliopita i.e 2005 akashindwa na Kikwete, pia katika Kipindi cha Mkapa amekuwa anapingana na Mkapa Mara Nyingi mpaka wakaishia kumfanyia Vituko vingi ikiwemo kushushwa kwenye Treni asi hudhurie Vikao/uchaguzi wa Viongozi wa Chama. Hivyo kwa Hapa amejitahidi, lakini ameshindwa kutoka na mazingira ya CCM, sasa leo hii labda tumpine huko Jimbo kwake Kukoje? au amewafanyia Nini? Ingwaje tena kwa Tz yetu inaweza isiwe kipimo kizuri maana Nguvu zako Pekee bila ya Serikali kukusupport zinaweza kufifishwa. So at this juncture tunaweza kumu assess kutoka na tabia zake, kauli zake na wasimfu mwingine.
- Aliwahi kupingana na Mkapa on what mkuu? Halafu inafurahisha kusikia kutoka kwako mkuu kwamba mbunge bila serikali kuku-support zinaweza kufifishwa hilo ni jipya na ni mara ya kwanza kulisikia hapa forums kwamba kumbe bila ya support ya serikali mbunge hawezi fanya lolote la maana kwa wananchi?
- Anyways kwa kumaliza tu ni kwamba leo nimewauliza viongozi wengi ndani ya CCM, kuhusu hizi kauli za Shibuda, wakasema kwamba wamemzoea na huko ndani ya CCM hakuna kiongozi mwenye akili timamua anayeweza kulumbana na Shibuda mbele ya public, wengi wao wakasema kwamba kama haya maneno yake yangekua yametamkwa na angalau Mwandosya, wangeshituka sana, na kwamba Shibuda ana matatizo mengi sana kisiasa kwa sababu huko Shinyanga haelewani na hata makatibu kata licha ya viongozi wa juu, lakini wakakubali kwamba ni haki yake kusema maoni yake pia.
Respect.
FMES!
Halafu Malecela akasema ccm ni chama cha masikini,sasa hilo group hapo juu ndilo linalofanya maamuzi kwa niaba ya masikini wa ccm na Tanzania kwa ujumla....?Inashangaza sana.