Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hoja dhaifu sana hiiMh shibuda anachosema ni shikizo toka kwa wanaompatia ajira sasa afanye nini ? ili kulinda ajiraaaa
Serikali Mbili hazihepukiki,,, " Mimi ni Muumini wa Serikali 2 hivyo kamwe sitaweza kuusaliti msimamo na mtazamo wangu juu ya Serikali mbili na Muungano wetu" - Mhe JOHN M. SHIBUDA (MB) Kupitia CHADEMA ... Akiongea juzi asubuhi katika kipindi cha JAMBO TANZANIA.
Source: tbc1