Shibuda: mimi ni muumini wa serikali mbili, na haziepukiki


Sasa hata kama ni muumini wa serikali2, rasimu inasema serikali3, akitaka 2 rasimu ivunjwe, iundwe tume mpya ya maoni na bunge hilo livunjwe, na maoni yasiwe ya wananchi, yawe ya wanasiasa na mawazo yao mufilisi. Tume zote, wananchi wametaka serikali3, hizo 2 siyo maoni ya wananchi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…