Watanzania tuna kasumba ya kulaumu serkali tu na wabunge!! Mbunge ndio anunue hata uniform za watoto na viatu? (angalia picha ya mwisho). Bila wananchi kushirikaina na viongozi itakuwa ngumu sana kuleta mapinduzi.
Sisi kama wazazi tumefanya nini kwa watoto hawa?