Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watanzania tuna kasumba ya kulaumu serkali tu na wabunge!! Mbunge ndio anunue hata uniform za watoto na viatu? (angalia picha ya mwisho). Bila wananchi kushirikaina na viongozi itakuwa ngumu sana kuleta mapinduzi.
Sisi kama wazazi tumefanya nini kwa watoto hawa?