Shida iko wapi kwenye kujiajiri

nandembako

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2013
Posts
655
Reaction score
526
Nimekuwa nikiuliza watu wengi maswali kuhusu kujiajiri na kuajiriwa....most of the answers imekuwa kujiajiri ndio "mchongo",sasa mbona sioni jitihada za watu kutaka kujiajiri.....halafu inakuwaje watu wanaongea sana kuliko vitendo!?
Wanaishia kuwasifia waliojiajir wakati wao wanakazana kuomba kazi kwenye makampuni na serikalini....
Hapa nataka kupata mawazo yenu hivi ni nini kinaleta shida ni uwoga wa maisha au ni theories tu zimewajenga kama elimu yetu ilivyo....imewajaza uoga badala ya kuwapa uhuru wa kujitegemea.....

by emma mjasiriamali
 
Aibu na Uoga mkuu ndo sababu kubwa na hakuna kitu kingine. Siku aibu na uoga ukiondoka basi itawezekana.

Watu sisi ni waogo sana asikuambie mtu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aibu na Uoga mkuu ndo sababu kubwa na hakuna kitu kingine. Siku aibu na uoga ukiondoka basi itawezekana.

Watu sisi ni waogo sana asikuambie mtu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Inaweza ikawa sababu...ila nahisi hasa uwoga,wanahisi hawawez kusurvive wenyewe kwa njia nyingine

by emma mjasiriamali
 
Kwa ujumla wake shida ipo kwenye uwezo (capability), elimu, mfumo wa uchumi, urasimu, culture (yakutoshirikiana tofauti na asians), ujasiri na purchasing power. Tanzania bado ipo katika hali ya chini wengi wanafungua biashara zinakufa hata ma supermarket mengi yanakufa kwasababu wengi gawana uwezo wengi. Hivyo ajira bado ni muhimu kwenye viwanda, mashirika n.k. sekta binafsi ikikua inatoa ajira ambayo inaongeza wenye kipato ambao watafanya biashara za wajisiriamali zikue.
 
Kujiajiri na kuacha kazi za kuajiliwa inabidi ujitoe ufahamu kwanza chief....la sivyo ndo wanabakia kusema jiajirini wakati wao wameajiliwa.
Yes lazima kujitoa sana, hakuna sehemu ngumu kama hiyo. hapo hakuna cha mwenye Degree wala mwenye Masters wala mwenye Phd wala Profesa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaweza ikawa sababu...ila nahisi hasa uwoga,wanahisi hawawez kusurvive wenyewe kwa njia nyingine

by emma mjasiriamali
Kwa walioajiriwa naweza kukubali kwamba ni uoga ndio tatizo lakini kwa wasio na ajira nadhani ni kukosa mitaji na kutokua tayari kujishusha kufanya kazi zinazoonekana kwamba ni hadhi ya chini ambazo kipato chake kinaweza kuwa kikubwa kuliko hata kwenye ajira

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Changamoto kubwa kwenye kujiajiri biashara 90% zina chukua muda kusimama na kufaidi matunda,ni chache sana ambazo ukianzisha leo faida unaanza kupata leo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vizuri sana kama una mipango minene, pia unaweza anzisha "Funding" kulingna na wazo lako,
Anza kuangalia list ya contact zako kuanzia A to Z....wahamasishe. You never know Maserati
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hapana. Labda njia nyingine,lakini hiyo hapana. Funding kulingana na wazo kivipi?? If nataka kuuza Nguo nafanyaje? Au nataka kuuza viatu?
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hapana. Labda njia nyingine,lakini hiyo hapana. Funding kulingana na wazo kivipi?? If nataka kuuza Nguo nafanyaje? Au nataka kuuza viatu?
Wazo lako linaweza kushawishi kupewa mtaji, mchanganuo wa jinsi utauza hizo nguo/viatu.....

Hujui wengine wana hela lkn hawajui wafanyaje biashara.
 
Wazo lako linaweza kushawishi kupewa mtaji, mchanganuo wa jinsi utauza hizo nguo/viatu.....

Hujui wengine wana hela lkn hawajui wafanyaje biashara.
Sijaona Huyo mtu bado. Nikikutana nae nitafurahi sana.
 
Reactions: SDG
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…