M mnyama mkal Member Joined Jan 30, 2014 Posts 35 Reaction score 12 Feb 6, 2014 #1 mapaja na mikono yangu inawasha sana (imeanza tu kwa ghafla) tatizo itakuwa ni kitu gan
utafiti JF-Expert Member Joined Jul 18, 2013 Posts 12,783 Reaction score 7,667 Feb 6, 2014 #2 Tatizo itakua yanawasha mkuu
kabanga JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 37,421 Reaction score 18,760 Feb 7, 2014 #3 huo ni kuonyesha jinsi gani kipindi kifupi kijacho utapapasa sana au kunawa mapaja yatasuguriwa sana...
huo ni kuonyesha jinsi gani kipindi kifupi kijacho utapapasa sana au kunawa mapaja yatasuguriwa sana...
uvugizi JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 1,278 Reaction score 956 Feb 9, 2014 #4 mnyama mkal said: mapaja na mikono yangu inawasha sana (imeanza tu kwa ghafla) tatizo itakuwa ni kitu gan Click to expand... nafikiri unaweza kuwa na tatizo la damu chafu . kwani hata mimi nilikuwa na tatizo hilo nikatumia dawa za kienyeji kusafisha tatizo husika , nafikiri hasa unapotoka kuoga ndiyo hasa tatizo lilikuwa hapo
mnyama mkal said: mapaja na mikono yangu inawasha sana (imeanza tu kwa ghafla) tatizo itakuwa ni kitu gan Click to expand... nafikiri unaweza kuwa na tatizo la damu chafu . kwani hata mimi nilikuwa na tatizo hilo nikatumia dawa za kienyeji kusafisha tatizo husika , nafikiri hasa unapotoka kuoga ndiyo hasa tatizo lilikuwa hapo