Shida sio CHADEMA, wala Mbowe, shida kuu ni Taifa lilo jaa Raia waoga, wanao subilia kutetewa na kusemewa

Shida sio CHADEMA, wala Mbowe, shida kuu ni Taifa lilo jaa Raia waoga, wanao subilia kutetewa na kusemewa

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Kuna Raia wajinga sana Taifa hili, kutwa nzima utasikia ohoo Mbowe kanunuliwa, Mara Chadema haina mvuto tena mara sijui Lisu ikapanda ikashuka.

Je Upinzani sio Ideology kwa Tanzania ila ni ideology kwa mataifa mengine?

Kule Kenya kuna watu wanaendesha Movement na hawana vyama wala offisi lasimi, kuna BWana mdoho anaitwa Morara Kebaso huyu hana chama ila ana spirit ya Upinzani. Wapo wengi tu wanao endesha movement nje ya vyama.

Anaimplement principal ya kwamba upinzani ni Ideology na wala sio mtu wala Chama. Kenya walisha tambua kabisa upinzani sio Chama wala mtu mmoja mmoja wala ofisi balj ni Spirt.

Tanzania kwa sababu imejaa raia wajinga, waoga, wanao taka wasemewe matatizo yao, wanaamini Upinzania ni mtu, au Chama. wanaamini wamezaliwa ili wasemewe na watewe, wanaamini upinzani ni Bendera na offisi.

Bongo mtu kama Mbowe akipotea akikaa kimya muda fulani utasikia kalambishwa asali. Okay kwa nini asijitokeze mtu mwingine ambeye hajalambiswa asali? au Serikali imelambisha asali raia wote nchi nzima? Upinzania si ni Ideology?

Mbowe hana mvuto kwa nini wenye mvuto wasijitokeze sasa wakati huu na kufanya movement? na kuwa wapinzani halisi wenye mvuto? shida ni nin? Je mbowe kazaliwa kutusemea? Lisu kazaliwa kutusemea?

Mbona Movement nyingi huko Duniani zinanzishwa nje ya vyama vya Upinzani?

Ni Bongo pekee ambayo waamanini Upinzani ni mtu.

Ohoo Zito kaisha nunuliwa kitambo, Oky kwa nini sasa wewe usie nunulika usijitokeze uonyeshe utofauti wa mtu alifika bei na ambaye hajafika bei?Nini kikwazo?
 
We failed them,

CDM is overly underrated

Tumewaachia wao wapambane wenyewe

Tunalaumu bila kuwajibika

Wamelipa gharama, what have we done?

Rulers apologetic wanaungana nasi kuwananga

Siasa za upinzani sio rahisi duniani kote, you need mass awareness, mobilization and Resources

Tunavuna tulichopanda...
 
Kuna Raia wajinga sana Taifa hili, kutwa nzima utasikia ohoo Mbowe kanunuliwa, Mara Chadema haina mvuto tena mara sijui Lisu ikapanda ikashuka.

Je Upinzani sio Ideology kwa Tanzania ila ni ideology kwa mataifa mengine?

Kule Kenya kuna watu wanaendesha Movement na hawana vyama wala offisi lasimi, kuna BWana mdoho anaitwa Morara Kebaso huyu hana chama ila ana spirit ya Upinzani. Wapo wengi tu wanao endesha movement nje ya vyama.

Anaimplement principal ya kwamba upinzani ni Ideology na wala sio mtu wala Chama. Kenya walisha tambua kabisa upinzani sio Chama wala mtu mmoja mmoja wala ofisi balj ni Spirt.

Tanzania kwa sababu imejaa raia wajinga, waoga, wanao taka wasemewe matatizo yao, wanaamini Upinzania ni mtu, au Chama. wanaamini wamezaliwa ili wasemewe na watewe, wanaamini upinzani ni Bendera na offisi.

Bongo mtu kama Mbowe akipotea akikaa kimya muda fulani utasikia kalambishwa asali. Okay kwa nini asijitokeze mtu mwingine ambeye hajalambiswa asali? au Serikali imelambisha asali raia wote nchi nzima? Upinzania si ni Ideology?

Mbowe hana mvuto kwa nini wenye mvuto wasijitokeze sasa wakati huu na kufanya movement? na kuwa wapinzani halisi wenye mvuto? shida ni nin? Je mbowe kazaliwa kutusemea? Lisu kazaliwa kutusemea?

Mbona Movement nyingi huko Duniani zinanzishwa nje ya vyama vya Upinzani?

Ni Bongo pekee ambayo waamanini Upinzani ni mtu.

Ohoo Zito kaisha nunuliwa kitambo, Oky kwa nini sasa wewe usie nunulika usijitokeze uonyeshe utofauti wa mtu alifika bei na ambaye hajafika bei?Nini kikwazo?
Mbona sikukuona kwenye maandamano ya mzee Mbowe? Ujasiri wako ni wa kwenye mitandao tu ndio maana unatumia jina feki humu kwa jinsi usivyojiamini
 
Kuna Raia wajinga sana Taifa hili, kutwa nzima utasikia ohoo Mbowe kanunuliwa, Mara Chadema haina mvuto tena mara sijui Lisu ikapanda ikashuka.

Je Upinzani sio Ideology kwa Tanzania ila ni ideology kwa mataifa mengine?

Kule Kenya kuna watu wanaendesha Movement na hawana vyama wala offisi lasimi, kuna BWana mdoho anaitwa Morara Kebaso huyu hana chama ila ana spirit ya Upinzani. Wapo wengi tu wanao endesha movement nje ya vyama.

Anaimplement principal ya kwamba upinzani ni Ideology na wala sio mtu wala Chama. Kenya walisha tambua kabisa upinzani sio Chama wala mtu mmoja mmoja wala ofisi balj ni Spirt.

Tanzania kwa sababu imejaa raia wajinga, waoga, wanao taka wasemewe matatizo yao, wanaamini Upinzania ni mtu, au Chama. wanaamini wamezaliwa ili wasemewe na watewe, wanaamini upinzani ni Bendera na offisi.

Bongo mtu kama Mbowe akipotea akikaa kimya muda fulani utasikia kalambishwa asali. Okay kwa nini asijitokeze mtu mwingine ambeye hajalambiswa asali? au Serikali imelambisha asali raia wote nchi nzima? Upinzania si ni Ideology?

Mbowe hana mvuto kwa nini wenye mvuto wasijitokeze sasa wakati huu na kufanya movement? na kuwa wapinzani halisi wenye mvuto? shida ni nin? Je mbowe kazaliwa kutusemea? Lisu kazaliwa kutusemea?

Mbona Movement nyingi huko Duniani zinanzishwa nje ya vyama vya Upinzani?

Ni Bongo pekee ambayo waamanini Upinzani ni mtu.

Ohoo Zito kaisha nunuliwa kitambo, Oky kwa nini sasa wewe usie nunulika usijitokeze uonyeshe utofauti wa mtu alifika bei na ambaye hajafika bei?Nini kikwazo?
Tanganyika ilisemewe hata kupata uhuru kutoka kwa mkoloni.
 
Kuna Raia wajinga sana Taifa hili, kutwa nzima utasikia ohoo Mbowe kanunuliwa, Mara Chadema haina mvuto tena mara sijui Lisu ikapanda ikashuka.

Je Upinzani sio Ideology kwa Tanzania ila ni ideology kwa mataifa mengine?

Kule Kenya kuna watu wanaendesha Movement na hawana vyama wala offisi lasimi, kuna BWana mdoho anaitwa Morara Kebaso huyu hana chama ila ana spirit ya Upinzani. Wapo wengi tu wanao endesha movement nje ya vyama.

Anaimplement principal ya kwamba upinzani ni Ideology na wala sio mtu wala Chama. Kenya walisha tambua kabisa upinzani sio Chama wala mtu mmoja mmoja wala ofisi balj ni Spirt.

Tanzania kwa sababu imejaa raia wajinga, waoga, wanao taka wasemewe matatizo yao, wanaamini Upinzania ni mtu, au Chama. wanaamini wamezaliwa ili wasemewe na watewe, wanaamini upinzani ni Bendera na offisi.

Bongo mtu kama Mbowe akipotea akikaa kimya muda fulani utasikia kalambishwa asali. Okay kwa nini asijitokeze mtu mwingine ambeye hajalambiswa asali? au Serikali imelambisha asali raia wote nchi nzima? Upinzania si ni Ideology?

Mbowe hana mvuto kwa nini wenye mvuto wasijitokeze sasa wakati huu na kufanya movement? na kuwa wapinzani halisi wenye mvuto? shida ni nin? Je mbowe kazaliwa kutusemea? Lisu kazaliwa kutusemea?

Mbona Movement nyingi huko Duniani zinanzishwa nje ya vyama vya Upinzani?

Ni Bongo pekee ambayo waamanini Upinzani ni mtu.

Ohoo Zito kaisha nunuliwa kitambo, Oky kwa nini sasa wewe usie nunulika usijitokeze uonyeshe utofauti wa mtu alifika bei na ambaye hajafika bei?Nini kikwazo?
Kutetewa kwenye nini wewe kunguni!?
 
Tatizo, ni Mwl Nyerere kujifanya kimbelembele kututetea wadanganyika. Alitakiwa atuache tuchapwe na kuteswa na wakoloni mpaka akili ikae sawa.

Taka uhuru tunaamini kunamtu atakuja kututetea au kutufanyia jambo. Kwa ujinga hakuna ubishi, angalia Rushwa ya kanga ya buku 3 , unakupa Uongozi.
 
Kuna Raia wajinga sana Taifa hili, kutwa nzima utasikia ohoo Mbowe kanunuliwa, Mara Chadema haina mvuto tena mara sijui Lisu ikapanda ikashuka.

Je Upinzani sio Ideology kwa Tanzania ila ni ideology kwa mataifa mengine?

Kule Kenya kuna watu wanaendesha Movement na hawana vyama wala offisi lasimi, kuna BWana mdoho anaitwa Morara Kebaso huyu hana chama ila ana spirit ya Upinzani. Wapo wengi tu wanao endesha movement nje ya vyama.

Anaimplement principal ya kwamba upinzani ni Ideology na wala sio mtu wala Chama. Kenya walisha tambua kabisa upinzani sio Chama wala mtu mmoja mmoja wala ofisi balj ni Spirt.

Tanzania kwa sababu imejaa raia wajinga, waoga, wanao taka wasemewe matatizo yao, wanaamini Upinzania ni mtu, au Chama. wanaamini wamezaliwa ili wasemewe na watewe, wanaamini upinzani ni Bendera na offisi.

Bongo mtu kama Mbowe akipotea akikaa kimya muda fulani utasikia kalambishwa asali. Okay kwa nini asijitokeze mtu mwingine ambeye hajalambiswa asali? au Serikali imelambisha asali raia wote nchi nzima? Upinzania si ni Ideology?

Mbowe hana mvuto kwa nini wenye mvuto wasijitokeze sasa wakati huu na kufanya movement? na kuwa wapinzani halisi wenye mvuto? shida ni nin? Je mbowe kazaliwa kutusemea? Lisu kazaliwa kutusemea?

Mbona Movement nyingi huko Duniani zinanzishwa nje ya vyama vya Upinzani?

Ni Bongo pekee ambayo waamanini Upinzani ni mtu.

Ohoo Zito kaisha nunuliwa kitambo, Oky kwa nini sasa wewe usie nunulika usijitokeze uonyeshe utofauti wa mtu alifika bei na ambaye hajafika bei?Nini kikwazo?
Tunaishi kwenye jamii ambayo haiwezi kuchakata fikra chanya na hasi, ni jamii ya kanyaga twende, vile vile jamii ambayo haiwezxi kubuni mbinu za kukabiliana na changamito zilizopo ama zinazokuja, (can not overcome uncertainties), tuseme jamii ambayo inayo safishwa ubongo, (brainwash)
 
Kuna Raia wajinga sana Taifa hili, kutwa nzima utasikia ohoo Mbowe kanunuliwa, Mara Chadema haina mvuto tena mara sijui Lisu ikapanda ikashuka.

Je Upinzani sio Ideology kwa Tanzania ila ni ideology kwa mataifa mengine?

Kule Kenya kuna watu wanaendesha Movement na hawana vyama wala offisi lasimi, kuna BWana mdoho anaitwa Morara Kebaso huyu hana chama ila ana spirit ya Upinzani. Wapo wengi tu wanao endesha movement nje ya vyama.

Anaimplement principal ya kwamba upinzani ni Ideology na wala sio mtu wala Chama. Kenya walisha tambua kabisa upinzani sio Chama wala mtu mmoja mmoja wala ofisi balj ni Spirt.

Tanzania kwa sababu imejaa raia wajinga, waoga, wanao taka wasemewe matatizo yao, wanaamini Upinzania ni mtu, au Chama. wanaamini wamezaliwa ili wasemewe na watewe, wanaamini upinzani ni Bendera na offisi.

Bongo mtu kama Mbowe akipotea akikaa kimya muda fulani utasikia kalambishwa asali. Okay kwa nini asijitokeze mtu mwingine ambeye hajalambiswa asali? au Serikali imelambisha asali raia wote nchi nzima? Upinzania si ni Ideology?

Mbowe hana mvuto kwa nini wenye mvuto wasijitokeze sasa wakati huu na kufanya movement? na kuwa wapinzani halisi wenye mvuto? shida ni nin? Je mbowe kazaliwa kutusemea? Lisu kazaliwa kutusemea?

Mbona Movement nyingi huko Duniani zinanzishwa nje ya vyama vya Upinzani?

Ni Bongo pekee ambayo waamanini Upinzani ni mtu.

Ohoo Zito kaisha nunuliwa kitambo, Oky kwa nini sasa wewe usie nunulika usijitokeze uonyeshe utofauti wa mtu alifika bei na ambaye hajafika bei?Nini kikwazo?

Taifa watu waoga kama kuku
 
Kuna Raia wajinga sana Taifa hili, kutwa nzima utasikia ohoo Mbowe kanunuliwa, Mara Chadema haina mvuto tena mara sijui Lisu ikapanda ikashuka.

Je Upinzani sio Ideology kwa Tanzania ila ni ideology kwa mataifa mengine?

Kule Kenya kuna watu wanaendesha Movement na hawana vyama wala offisi lasimi, kuna BWana mdoho anaitwa Morara Kebaso huyu hana chama ila ana spirit ya Upinzani. Wapo wengi tu wanao endesha movement nje ya vyama.

Anaimplement principal ya kwamba upinzani ni Ideology na wala sio mtu wala Chama. Kenya walisha tambua kabisa upinzani sio Chama wala mtu mmoja mmoja wala ofisi balj ni Spirt.

Tanzania kwa sababu imejaa raia wajinga, waoga, wanao taka wasemewe matatizo yao, wanaamini Upinzania ni mtu, au Chama. wanaamini wamezaliwa ili wasemewe na watewe, wanaamini upinzani ni Bendera na offisi.

Bongo mtu kama Mbowe akipotea akikaa kimya muda fulani utasikia kalambishwa asali. Okay kwa nini asijitokeze mtu mwingine ambeye hajalambiswa asali? au Serikali imelambisha asali raia wote nchi nzima? Upinzania si ni Ideology?

Mbowe hana mvuto kwa nini wenye mvuto wasijitokeze sasa wakati huu na kufanya movement? na kuwa wapinzani halisi wenye mvuto? shida ni nin? Je mbowe kazaliwa kutusemea? Lisu kazaliwa kutusemea?

Mbona Movement nyingi huko Duniani zinanzishwa nje ya vyama vya Upinzani?

Ni Bongo pekee ambayo waamanini Upinzani ni mtu.

Ohoo Zito kaisha nunuliwa kitambo, Oky kwa nini sasa wewe usie nunulika usijitokeze uonyeshe utofauti wa mtu alifika bei na ambaye hajafika bei?Nini kikwazo?
Shida ni Mbowe kaka, CDM inahitaji mabadiliko ya uongozi ili kuchochea upinzani wa kweli. Yeye analazimisha kuwa Mwenyekiti wa MAISHA, hilo ni tatizo
 
Kuna Raia wajinga sana Taifa hili, kutwa nzima utasikia ohoo Mbowe kanunuliwa, Mara Chadema haina mvuto tena mara sijui Lisu ikapanda ikashuka.

Je Upinzani sio Ideology kwa Tanzania ila ni ideology kwa mataifa mengine?

Kule Kenya kuna watu wanaendesha Movement na hawana vyama wala offisi lasimi, kuna BWana mdoho anaitwa Morara Kebaso huyu hana chama ila ana spirit ya Upinzani. Wapo wengi tu wanao endesha movement nje ya vyama.

Anaimplement principal ya kwamba upinzani ni Ideology na wala sio mtu wala Chama. Kenya walisha tambua kabisa upinzani sio Chama wala mtu mmoja mmoja wala ofisi balj ni Spirt.

Tanzania kwa sababu imejaa raia wajinga, waoga, wanao taka wasemewe matatizo yao, wanaamini Upinzania ni mtu, au Chama. wanaamini wamezaliwa ili wasemewe na watewe, wanaamini upinzani ni Bendera na offisi.

Bongo mtu kama Mbowe akipotea akikaa kimya muda fulani utasikia kalambishwa asali. Okay kwa nini asijitokeze mtu mwingine ambeye hajalambiswa asali? au Serikali imelambisha asali raia wote nchi nzima? Upinzania si ni Ideology?

Mbowe hana mvuto kwa nini wenye mvuto wasijitokeze sasa wakati huu na kufanya movement? na kuwa wapinzani halisi wenye mvuto? shida ni nin? Je mbowe kazaliwa kutusemea? Lisu kazaliwa kutusemea?

Mbona Movement nyingi huko Duniani zinanzishwa nje ya vyama vya Upinzani?

Ni Bongo pekee ambayo waamanini Upinzani ni mtu.

Ohoo Zito kaisha nunuliwa kitambo, Oky kwa nini sasa wewe usie nunulika usijitokeze uonyeshe utofauti wa mtu alifika bei na ambaye hajafika bei?Nini kikwazo?
CHADEMA WAPUMBAVU SANA KWA HIYO NYIE KAZI YENU IMEKUWA NI KUWACHOCHEA WATANZANIA WAFANYE FUJO, WASITII MAMLAKA WAWE NA VIBURI, WAANDAMANE, CHADEMA WANA FIKRA MBAYA SANA NA ZA HOVYO KABISA, MTANZANIA WA LEO SIYO MJINGA KIASI HIVYO!
 
Hivi yule mama mke wa wilbrod slaa yupo wapi?, au ameshabwagwa? (gari ya zamani haiwezi kuvutwa na gari kuu kuu bana)
 
Nikikumbuka 2009-2015 nilivyokuwa kamanda WA chadema halafu akina silinde, waitara, karanga na cov 19 wakaunga mkono juhudi za akarii,


Itoshe kusema fanya yanayokuhusu, achana na siasa.
 
Back
Top Bottom