Shida sio CHADEMA, wala Mbowe, shida kuu ni Taifa lilo jaa Raia waoga, wanao subilia kutetewa na kusemewa

Shida sio CHADEMA, wala Mbowe, shida kuu ni Taifa lilo jaa Raia waoga, wanao subilia kutetewa na kusemewa

Si kweli. Morara ana chama chake kinaitwa Inject. Jamaa ni tapeli kila siku anaomba wananchi wachangie pesa za mafuta ya gari.
 
Nakuomba mhe Mbowe apumzike tu, ili hii midanganyika na michawa ipate shida mpk akili ziamke
 
1731813570845.png
 
Kuna Raia wajinga sana Taifa hili, kutwa nzima utasikia ohoo Mbowe kanunuliwa, Mara Chadema haina mvuto tena mara sijui Lisu ikapanda ikashuka.

Je Upinzani sio Ideology kwa Tanzania ila ni ideology kwa mataifa mengine?

Kule Kenya kuna watu wanaendesha Movement na hawana vyama wala offisi lasimi, kuna BWana mdoho anaitwa Morara Kebaso huyu hana chama ila ana spirit ya Upinzani. Wapo wengi tu wanao endesha movement nje ya vyama.

Anaimplement principal ya kwamba upinzani ni Ideology na wala sio mtu wala Chama. Kenya walisha tambua kabisa upinzani sio Chama wala mtu mmoja mmoja wala ofisi balj ni Spirt.

Tanzania kwa sababu imejaa raia wajinga, waoga, wanao taka wasemewe matatizo yao, wanaamini Upinzania ni mtu, au Chama. wanaamini wamezaliwa ili wasemewe na watewe, wanaamini upinzani ni Bendera na offisi.

Bongo mtu kama Mbowe akipotea akikaa kimya muda fulani utasikia kalambishwa asali. Okay kwa nini asijitokeze mtu mwingine ambeye hajalambiswa asali? au Serikali imelambisha asali raia wote nchi nzima? Upinzania si ni Ideology?

Mbowe hana mvuto kwa nini wenye mvuto wasijitokeze sasa wakati huu na kufanya movement? na kuwa wapinzani halisi wenye mvuto? shida ni nin? Je mbowe kazaliwa kutusemea? Lisu kazaliwa kutusemea?

Mbona Movement nyingi huko Duniani zinanzishwa nje ya vyama vya Upinzani?

Ni Bongo pekee ambayo waamanini Upinzani ni mtu.

Ohoo Zito kaisha nunuliwa kitambo, Oky kwa nini sasa wewe usie nunulika usijitokeze uonyeshe utofauti wa mtu alifika bei na ambaye hajafika bei?Nini kikwazo?
Sidhani kama kuna mtanzania anahitaji kusemewa zaidi ya kimbelembele cha wanasiasa!
 
Kuna Raia wajinga sana Taifa hili, kutwa nzima utasikia ohoo Mbowe kanunuliwa, Mara Chadema haina mvuto tena mara sijui Lisu ikapanda ikashuka.

Je Upinzani sio Ideology kwa Tanzania ila ni ideology kwa mataifa mengine?

Kule Kenya kuna watu wanaendesha Movement na hawana vyama wala offisi lasimi, kuna BWana mdoho anaitwa Morara Kebaso huyu hana chama ila ana spirit ya Upinzani. Wapo wengi tu wanao endesha movement nje ya vyama.

Anaimplement principal ya kwamba upinzani ni Ideology na wala sio mtu wala Chama. Kenya walisha tambua kabisa upinzani sio Chama wala mtu mmoja mmoja wala ofisi balj ni Spirt.

Tanzania kwa sababu imejaa raia wajinga, waoga, wanao taka wasemewe matatizo yao, wanaamini Upinzania ni mtu, au Chama. wanaamini wamezaliwa ili wasemewe na watewe, wanaamini upinzani ni Bendera na offisi.

Bongo mtu kama Mbowe akipotea akikaa kimya muda fulani utasikia kalambishwa asali. Okay kwa nini asijitokeze mtu mwingine ambeye hajalambiswa asali? au Serikali imelambisha asali raia wote nchi nzima? Upinzania si ni Ideology?

Mbowe hana mvuto kwa nini wenye mvuto wasijitokeze sasa wakati huu na kufanya movement? na kuwa wapinzani halisi wenye mvuto? shida ni nin? Je mbowe kazaliwa kutusemea? Lisu kazaliwa kutusemea?

Mbona Movement nyingi huko Duniani zinanzishwa nje ya vyama vya Upinzani?

Ni Bongo pekee ambayo waamanini Upinzani ni mtu.

Ohoo Zito kaisha nunuliwa kitambo, Oky kwa nini sasa wewe usie nunulika usijitokeze uonyeshe utofauti wa mtu alifika bei na ambaye hajafika bei?Nini kikwazo?
Kuna mijamaa na mimama mipambaff sana hapa Tanzania. Unakuta inasema wamezaliwa na CCM!Bloody marabooks!
 
Kuna Raia wajinga sana Taifa hili, kutwa nzima utasikia ohoo Mbowe kanunuliwa, Mara Chadema haina mvuto tena mara sijui Lisu ikapanda ikashuka.

Je Upinzani sio Ideology kwa Tanzania ila ni ideology kwa mataifa mengine?

Kule Kenya kuna watu wanaendesha Movement na hawana vyama wala offisi lasimi, kuna BWana mdoho anaitwa Morara Kebaso huyu hana chama ila ana spirit ya Upinzani. Wapo wengi tu wanao endesha movement nje ya vyama.

Anaimplement principal ya kwamba upinzani ni Ideology na wala sio mtu wala Chama. Kenya walisha tambua kabisa upinzani sio Chama wala mtu mmoja mmoja wala ofisi balj ni Spirt.

Tanzania kwa sababu imejaa raia wajinga, waoga, wanao taka wasemewe matatizo yao, wanaamini Upinzania ni mtu, au Chama. wanaamini wamezaliwa ili wasemewe na watewe, wanaamini upinzani ni Bendera na offisi.

Bongo mtu kama Mbowe akipotea akikaa kimya muda fulani utasikia kalambishwa asali. Okay kwa nini asijitokeze mtu mwingine ambeye hajalambiswa asali? au Serikali imelambisha asali raia wote nchi nzima? Upinzania si ni Ideology?

Mbowe hana mvuto kwa nini wenye mvuto wasijitokeze sasa wakati huu na kufanya movement? na kuwa wapinzani halisi wenye mvuto? shida ni nin? Je mbowe kazaliwa kutusemea? Lisu kazaliwa kutusemea?

Mbona Movement nyingi huko Duniani zinanzishwa nje ya vyama vya Upinzani?

Ni Bongo pekee ambayo waamanini Upinzani ni mtu.

Ohoo Zito kaisha nunuliwa kitambo, Oky kwa nini sasa wewe usie nunulika usijitokeze uonyeshe utofauti wa mtu alifika bei na ambaye hajafika bei?Nini kikwazo?
kama kweli wewe ni muerevu,
jitokeze hadharini na hizo dhihaka na kejeli zako kwa waTanzani.

kwanini unaiharibia chadema?
kwahiyo chadema ndio inawaona wananchi ambao ndio wapiga wapikura wake ni wajinga, right?

Jifanye basi na wewe ni Morara Kebaso wa Tanzania na uje mtaani uwaite waTanzania wajinga ili tuone jinsi muerevu ulivyobright kichwani, right?

Morara Kebaso si anawabeza wananchi kwa kuwaita wajinga, si ndio gentleman?🐒
 
Ndio tulipo kuna watu bado kabisa wana imani na mjasiriamali Mbowe, sasa watu kama hao unawasaidia vipi.

Lissu hajawahi kuwa na tofauti yoyote na Mbowe, hata wanapopishana privately hajawahi indirectly kumshambulia.

Mbowe huyu anaeruhusu hakina ‘Lema, et al) kumtukana Lissu tena kwa mambo aliyoongeleq kuhusu Ikungi.

It’s beyond me kwa watu wenye Imani na Mbowe, but then Tanzania kuna watu wanatapeliwa kwenye nyumba za ibada zilizosajiliwa.

Kabisa kuna mtu anaweza amini tapeli Mbowe, anaweza kuwa bora kwa mustakabali wa CDM.

Kuna wasaa lazima tuambiazane ukweli, kama unaweza kumuamini Mbowe, mbele ya Lissu lazima una shida.
 
Kuna Raia wajinga sana Taifa hili, kutwa nzima utasikia ohoo Mbowe kanunuliwa, Mara Chadema haina mvuto tena mara sijui Lisu ikapanda ikashuka.

Je Upinzani sio Ideology kwa Tanzania ila ni ideology kwa mataifa mengine?

Kule Kenya kuna watu wanaendesha Movement na hawana vyama wala offisi lasimi, kuna BWana mdoho anaitwa Morara Kebaso huyu hana chama ila ana spirit ya Upinzani. Wapo wengi tu wanao endesha movement nje ya vyama.

Anaimplement principal ya kwamba upinzani ni Ideology na wala sio mtu wala Chama. Kenya walisha tambua kabisa upinzani sio Chama wala mtu mmoja mmoja wala ofisi balj ni Spirt.

Tanzania kwa sababu imejaa raia wajinga, waoga, wanao taka wasemewe matatizo yao, wanaamini Upinzania ni mtu, au Chama. wanaamini wamezaliwa ili wasemewe na watewe, wanaamini upinzani ni Bendera na offisi.

Bongo mtu kama Mbowe akipotea akikaa kimya muda fulani utasikia kalambishwa asali. Okay kwa nini asijitokeze mtu mwingine ambeye hajalambiswa asali? au Serikali imelambisha asali raia wote nchi nzima? Upinzania si ni Ideology?

Mbowe hana mvuto kwa nini wenye mvuto wasijitokeze sasa wakati huu na kufanya movement? na kuwa wapinzani halisi wenye mvuto? shida ni nin? Je mbowe kazaliwa kutusemea? Lisu kazaliwa kutusemea?

Mbona Movement nyingi huko Duniani zinanzishwa nje ya vyama vya Upinzani?

Ni Bongo pekee ambayo waamanini Upinzani ni mtu.

Ohoo Zito kaisha nunuliwa kitambo, Oky kwa nini sasa wewe usie nunulika usijitokeze uonyeshe utofauti wa mtu alifika bei na ambaye hajafika bei?Nini kikwazo?
Umeandika vizuri.

Kumbuka, narehemu Kenyatta alifanya assessment miaka ,mingi iliyopita kuhusu watanzania na akaja na conclusion kuwa waranzania ni sawa na maiti hawawezi milele wakafufuka kudai haki zao.

Tuna key board warriors ambao hata kuchanbua hoja hawawezi zaidi ya kudandia na, kukurupukia hoja.
 
Kuna Raia wajinga sana Taifa hili, kutwa nzima utasikia ohoo Mbowe kanunuliwa, Mara Chadema haina mvuto tena mara sijui Lisu ikapanda ikashuka.

Je Upinzani sio Ideology kwa Tanzania ila ni ideology kwa mataifa mengine?

Kule Kenya kuna watu wanaendesha Movement na hawana vyama wala offisi lasimi, kuna BWana mdoho anaitwa Morara Kebaso huyu hana chama ila ana spirit ya Upinzani. Wapo wengi tu wanao endesha movement nje ya vyama.

Anaimplement principal ya kwamba upinzani ni Ideology na wala sio mtu wala Chama. Kenya walisha tambua kabisa upinzani sio Chama wala mtu mmoja mmoja wala ofisi balj ni Spirt.

Tanzania kwa sababu imejaa raia wajinga, waoga, wanao taka wasemewe matatizo yao, wanaamini Upinzania ni mtu, au Chama. wanaamini wamezaliwa ili wasemewe na watewe, wanaamini upinzani ni Bendera na offisi.

Bongo mtu kama Mbowe akipotea akikaa kimya muda fulani utasikia kalambishwa asali. Okay kwa nini asijitokeze mtu mwingine ambeye hajalambiswa asali? au Serikali imelambisha asali raia wote nchi nzima? Upinzania si ni Ideology?

Mbowe hana mvuto kwa nini wenye mvuto wasijitokeze sasa wakati huu na kufanya movement? na kuwa wapinzani halisi wenye mvuto? shida ni nin? Je mbowe kazaliwa kutusemea? Lisu kazaliwa kutusemea?

Mbona Movement nyingi huko Duniani zinanzishwa nje ya vyama vya Upinzani?

Ni Bongo pekee ambayo waamanini Upinzani ni mtu.

Ohoo Zito kaisha nunuliwa kitambo, Oky kwa nini sasa wewe usie nunulika usijitokeze uonyeshe utofauti wa mtu alifika bei na ambaye hajafika bei?Nini kikwazo?
Umesema ukweli kabisa mwamba!
 
Kuna Raia wajinga sana Taifa hili, kutwa nzima utasikia ohoo Mbowe kanunuliwa, Mara Chadema haina mvuto tena mara sijui Lisu ikapanda ikashuka.

Je Upinzani sio Ideology kwa Tanzania ila ni ideology kwa mataifa mengine?

Kule Kenya kuna watu wanaendesha Movement na hawana vyama wala offisi lasimi, kuna BWana mdoho anaitwa Morara Kebaso huyu hana chama ila ana spirit ya Upinzani. Wapo wengi tu wanao endesha movement nje ya vyama.

Anaimplement principal ya kwamba upinzani ni Ideology na wala sio mtu wala Chama. Kenya walisha tambua kabisa upinzani sio Chama wala mtu mmoja mmoja wala ofisi balj ni Spirt.

Tanzania kwa sababu imejaa raia wajinga, waoga, wanao taka wasemewe matatizo yao, wanaamini Upinzania ni mtu, au Chama. wanaamini wamezaliwa ili wasemewe na watewe, wanaamini upinzani ni Bendera na offisi.

Bongo mtu kama Mbowe akipotea akikaa kimya muda fulani utasikia kalambishwa asali. Okay kwa nini asijitokeze mtu mwingine ambeye hajalambiswa asali? au Serikali imelambisha asali raia wote nchi nzima? Upinzania si ni Ideology?

Mbowe hana mvuto kwa nini wenye mvuto wasijitokeze sasa wakati huu na kufanya movement? na kuwa wapinzani halisi wenye mvuto? shida ni nin? Je mbowe kazaliwa kutusemea? Lisu kazaliwa kutusemea?

Mbona Movement nyingi huko Duniani zinanzishwa nje ya vyama vya Upinzani?

Ni Bongo pekee ambayo waamanini Upinzani ni mtu.

Ohoo Zito kaisha nunuliwa kitambo, Oky kwa nini sasa wewe usie nunulika usijitokeze uonyeshe utofauti wa mtu alifika bei na ambaye hajafika bei?Nini kikwazo?
Unapokuwa na watu kama waTanzania ambao ni waoga, wewe kama kiongozi lazima uwe na mbinu mbadala, ujue jinsi ya kwenda nao, Madhari wewe umeamua kuwa kiongozi katu usitegemee huruma za wanachi.
 
Back
Top Bottom