Shida tunazopata hivi sasa hapa nchini zimesababishwa na mwendazake

Hakuna Rais ambaye atakubalika na Wananchi wote.

Hata wewe pia hukubaliki Na ndugu zako wote
 
Jiwe alichukiwa na wengi. Alipendwa na ndugu zake tu
 
Nashangaa mwamba tameer hajadislike.
 
Hiyo mitambo mbona siyo ya kawaida .samia anashindwa nini iamrishwe ifsnye kazi kama mwenda zake aliweza
 
Kuna watu Afrika wanadhani kuwa demokrasia maana yake ni kuwabembeleza na kufaurahisha watu wote. kiongozi asipokufurahisha tu basi huyo ni dikteta na mharibifu.
Mtu ale alipwe hata bila kufanya kazi kwao ndo maisha na democracy
 
MWENDAZAKE ni nani Hasa?

Nilidhani unamaanisha Mzee Mwinyi.
 
MWENDAZAKE ni nani Hasa?

Nilidhani unamaanisha Mzee Mwinyi.
Mwendazake ni mtu wa hovyo, aliyekufa hovyo na kifo chake kushangiliwa na wengi; mfano
"Mungu ameamulia ugomvi" (Nape),
"shetani alikuwepo ikulu" (Askofu Mwingira),
"nchi imepumua" (mzee Wasira),
"Wema hawafi" (mzee Makamba),
"Magufuli hakuwa kiongozi" (Zitto), n.k
 
Ukisoma uzi halafu ukaishia kutamani kutukana badala ya kujibu hoja za kwenye uzi ujue uzi huo umekuzidi akili
Sometimes unakutana na Uzi hadi unajiuliza aliyeandika hapa ni mtu ama vipi! Sasa ulichokiandika hakuna hata pa Kuanzia kujadili maana ujinga Umeanza mwanzo kwa hiyo hamna point itakuja mbeleni bora kukaa kimya tu kukuacha na ujinga wako pengine una faida kwako
 
Machawa wa wahuni kilasiku mnakuja kulalamika, ila wahuni wengi waliokomeshwa wako kimya na hutawasikia wakiongea maana wanajua walipata walichostahili kupata.

Mfano, tajiri wa mabasi mwanza sirari na wengine kibao.

Nchi ilikuwa inaendeshwa kihuni sana, tunamshukuru kwa kuwatanguliza kuzimu baadhi ya wahuni, hawa waliobaki watanzania tumeshajua namna ya kuwashughulikia ni kuwatanguliza tu, hakuna namna

NB: Uncle ndiye kipimo cha uongozi Tanzania na Africa kwa miaka hadi 20 ijayo. Uwe unataka uwe hautaki ndivyo ilivyo.

Wasomi, wanasiasa, wanazuoni wa Africa wanamkubali uncle, sasa wewe na hutu tuakili twako kiduchu ambato hatuwezi hata kumanage kuku 20 unasema nini.
 
Dogo magu alikuingilia kipindi kirefu sana.
 
That is why you are shemale or LGBTQ+ to have your adversary view like this; frankly speaking, you are doomed, to say the least!!!
 
That is why you are shemale or LGBTQ+ to have your adversary view like this; frankly speaking, you are doomed, to say the least!!!
Siyo kwamba ukiandika kioja kwa kiingereza ndiyo kitageuka kuwa hoja. Ni upuuzi tu, bora ungeandika kwa kiswahili .
 
Ina maana kabla yake mitambo ilikuwa haijaharibika na umeme ulikuwa wa uhakika au sio?
 
Muache jamaa apumzike kwa amani.
 
Sio kweli , zmesababishwa na cc wenyew na watungulz bab zetu babu zetu
 
Kwani matatizo yaliopo sasa Tanzania yalianzia kipindi Cha Magu🤔🤔 inaonekana hujui hata kidogo chanzo Cha matatizo ya Tanzania ni nini, marehemu ataendelea kuwatesa hadi mtakapo kua na akili timamu
 
Kwani matatizo yaliopo sasa Tanzania yalianzia kipindi Cha Magu🤔🤔 inaonekana hujui hata kidogo chanzo Cha matatizo ya Tanzania ni nini,
Tujuze wewe unayejua chanzo cha matatizo ya Tanzania
 
Uyu mwendazake uyu, apumzishwe anapostahili,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…