- Thread starter
- #61
Alikuwa mshenzi sana huyu jiweUyu mwendazake uyu, apumzishwe anapostahili,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa mshenzi sana huyu jiweUyu mwendazake uyu, apumzishwe anapostahili,
Asiejua maana hapaswi kuambiwaTujuze wewe unayejua chanzo cha matatizo ya Tanzania
Kumbe hata wewe hujui. Endelea kusoma comments tu.Asiejua maana hapaswi kuambiwa
Kila mtu atasema lake ila jini la majanga yote ni katiba. Katiba ndio chanzo cha haya na mara zote naikumbuka kauli ya Mh Kikwete wakati Fulani bungeni kwenye muswaada wakupunguza madaraka ya Rais ambao CCM walikataa fanya mabadiliko ila JK kwa ungwana Wake akawaambia "Mimi kama Rais sijaaamua kuitumia hii katiba kuonyesha mamlaka ya Rais ila anaweza kuja mtu kwa katiba hii na nguvu Rais anayo kwa hakika itakuwa shida ila Mimi Sina neno kama mmeamua madaraka ya Rais yabaki kama yalivyo basi sawa". JPM akaitimisha unabii wa JK ama kwa hakika watu walijinyea wakiwa makazini ama kwa hakika watu walivaa pampasi walipo sikia wanaitwa na Mwamba JPM. Baba uipumzishe Roho ya kiumbe wako alie Amua kuonyesha sisi ni wanafiki na unafiki huwo wacha utule. JPM alitekeleza nguvu ya Rais na ndio maana hata miaka miambili hamtoweza mshitaki🙏Mwendazake jiwe aliharibu mitambo ya umeme kwa kuamrisha ifanye kazi bila matengenezo.
Aliharibu biashara na ajira nyingi sana kwa mtindo wake wa kupora maliza za wafanyabiashara na kuwabambikizia kesi.
Aliwatesa sana wakulima kwa kuzuia mazao yao yasiuze nje.
Aliwatesa sana wafanyakazi kwa kuwayima annual increment na nyongeza ya mishahara.
Alianziaha miradi mikubwa mingi isiyoenda na nyakati na isiyo na tija. Mfano;-
1. Ujenzi wa daraja la Busisi urefu km 3 kwenda kwa wakwe zake.
2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma . Enzi za Nyerere kulikuwa na ulazima wa makao makuu kuwa katikati lkn haina maana ktk enzi hizi.
3. Aliwapunguza wafanyakazi wengi sana kwa sababu za kubumba kama vyeti feki, ajira hewa na upuuzi mwingine.
4. Ujenzi wa bawawa la Nyerere. Ktk zama hizi za mabadiliko ya tabia nchi ni ujuha kujenga mabwawa ya umeme. Kwasabb siyo ya kutumainiwa. Tulipaswa kuwekeza kwenye umeme wa upepo na jua.
Mamiradi haya na mengine yanamsumbua rais wa Sasa kuyamalizia ndiyo maana hata tozo imeanziahwa. Kuyapiga chini anaogopa mama wa watu.
Mama anahangaika kuufufu uchumi uliokuwa umeanguka na kuyamalizia haya mamiradi ndiyo maana shida haziishi.
Ila jiwe, Mungu amuongezee adhabu huko aliko.
Huna akili wew na utakuwa nayo mbinguni na dunianiMwendazake jiwe aliharibu mitambo ya umeme kwa kuamrisha ifanye kazi bila matengenezo.
Aliharibu biashara na ajira nyingi sana kwa mtindo wake wa kupora maliza za wafanyabiashara na kuwabambikizia kesi.
Aliwatesa sana wakulima kwa kuzuia mazao yao yasiuze nje.
Aliwatesa sana wafanyakazi kwa kuwayima annual increment na nyongeza ya mishahara.
Alianziaha miradi mikubwa mingi isiyoenda na nyakati na isiyo na tija. Mfano;-
1. Ujenzi wa daraja la Busisi urefu km 3 kwenda kwa wakwe zake.
2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma . Enzi za Nyerere kulikuwa na ulazima wa makao makuu kuwa katikati lkn haina maana ktk enzi hizi.
3. Aliwapunguza wafanyakazi wengi sana kwa sababu za kubumba kama vyeti feki, ajira hewa na upuuzi mwingine.
4. Ujenzi wa bawawa la Nyerere. Ktk zama hizi za mabadiliko ya tabia nchi ni ujuha kujenga mabwawa ya umeme. Kwasabb siyo ya kutumainiwa. Tulipaswa kuwekeza kwenye umeme wa upepo na jua.
Mamiradi haya na mengine yanamsumbua rais wa Sasa kuyamalizia ndiyo maana hata tozo imeanziahwa. Kuyapiga chini anaogopa mama wa watu.
Mama anahangaika kuufufu uchumi uliokuwa umeanguka na kuyamalizia haya mamiradi ndiyo maana shida haziishi.
Ila jiwe, Mungu amuongezee adhabu huko aliko.
Hujaelewa nilicho andika na Wala huwezi kuelewaKumbe hata wewe hujui. Endelea kusoma comments tu.
Aisee, ata wale wanaomtukuza Mungu anawaona , yule mzee alijaa roho ya ubinafsi , ukatili, katika kivuli cha kujifanya anatetea wanyonge, binafsi mpaka sasa nimekubali bila shaka Mungu analipenda Taifa hili kwa kiwango cha juu sasa wapo ambao wameanza jitoa ufaham ,Mda ni MwalimAlikuwa mshenzi sana huyu jiwe