Shida tunazopata hivi sasa hapa nchini zimesababishwa na mwendazake

Shida tunazopata hivi sasa hapa nchini zimesababishwa na mwendazake

Mwendazake jiwe aliharibu mitambo ya umeme kwa kuamrisha ifanye kazi bila matengenezo.

Aliharibu biashara na ajira nyingi sana kwa mtindo wake wa kupora maliza za wafanyabiashara na kuwabambikizia kesi.

Aliwatesa sana wakulima kwa kuzuia mazao yao yasiuze nje.

Aliwatesa sana wafanyakazi kwa kuwayima annual increment na nyongeza ya mishahara.

Alianziaha miradi mikubwa mingi isiyoenda na nyakati na isiyo na tija. Mfano;-
1. Ujenzi wa daraja la Busisi urefu km 3 kwenda kwa wakwe zake.
2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma . Enzi za Nyerere kulikuwa na ulazima wa makao makuu kuwa katikati lkn haina maana ktk enzi hizi.
3. Aliwapunguza wafanyakazi wengi sana kwa sababu za kubumba kama vyeti feki, ajira hewa na upuuzi mwingine.
4. Ujenzi wa bawawa la Nyerere. Ktk zama hizi za mabadiliko ya tabia nchi ni ujuha kujenga mabwawa ya umeme. Kwasabb siyo ya kutumainiwa. Tulipaswa kuwekeza kwenye umeme wa upepo na jua.

Mamiradi haya na mengine yanamsumbua rais wa Sasa kuyamalizia ndiyo maana hata tozo imeanziahwa. Kuyapiga chini anaogopa mama wa watu.

Mama anahangaika kuufufu uchumi uliokuwa umeanguka na kuyamalizia haya mamiradi ndiyo maana shida haziishi.

Ila jiwe, Mungu amuongezee adhabu huko aliko.
Kila mtu atasema lake ila jini la majanga yote ni katiba. Katiba ndio chanzo cha haya na mara zote naikumbuka kauli ya Mh Kikwete wakati Fulani bungeni kwenye muswaada wakupunguza madaraka ya Rais ambao CCM walikataa fanya mabadiliko ila JK kwa ungwana Wake akawaambia "Mimi kama Rais sijaaamua kuitumia hii katiba kuonyesha mamlaka ya Rais ila anaweza kuja mtu kwa katiba hii na nguvu Rais anayo kwa hakika itakuwa shida ila Mimi Sina neno kama mmeamua madaraka ya Rais yabaki kama yalivyo basi sawa". JPM akaitimisha unabii wa JK ama kwa hakika watu walijinyea wakiwa makazini ama kwa hakika watu walivaa pampasi walipo sikia wanaitwa na Mwamba JPM. Baba uipumzishe Roho ya kiumbe wako alie Amua kuonyesha sisi ni wanafiki na unafiki huwo wacha utule. JPM alitekeleza nguvu ya Rais na ndio maana hata miaka miambili hamtoweza mshitaki🙏
 
Mleta mada alikuwa anadinywa na jpm kila siku
 
Mwendazake jiwe aliharibu mitambo ya umeme kwa kuamrisha ifanye kazi bila matengenezo.

Aliharibu biashara na ajira nyingi sana kwa mtindo wake wa kupora maliza za wafanyabiashara na kuwabambikizia kesi.

Aliwatesa sana wakulima kwa kuzuia mazao yao yasiuze nje.

Aliwatesa sana wafanyakazi kwa kuwayima annual increment na nyongeza ya mishahara.

Alianziaha miradi mikubwa mingi isiyoenda na nyakati na isiyo na tija. Mfano;-
1. Ujenzi wa daraja la Busisi urefu km 3 kwenda kwa wakwe zake.
2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma . Enzi za Nyerere kulikuwa na ulazima wa makao makuu kuwa katikati lkn haina maana ktk enzi hizi.
3. Aliwapunguza wafanyakazi wengi sana kwa sababu za kubumba kama vyeti feki, ajira hewa na upuuzi mwingine.
4. Ujenzi wa bawawa la Nyerere. Ktk zama hizi za mabadiliko ya tabia nchi ni ujuha kujenga mabwawa ya umeme. Kwasabb siyo ya kutumainiwa. Tulipaswa kuwekeza kwenye umeme wa upepo na jua.

Mamiradi haya na mengine yanamsumbua rais wa Sasa kuyamalizia ndiyo maana hata tozo imeanziahwa. Kuyapiga chini anaogopa mama wa watu.

Mama anahangaika kuufufu uchumi uliokuwa umeanguka na kuyamalizia haya mamiradi ndiyo maana shida haziishi.

Ila jiwe, Mungu amuongezee adhabu huko aliko.
Huna akili wew na utakuwa nayo mbinguni na duniani
 
Alikuwa mshenzi sana huyu jiwe
Aisee, ata wale wanaomtukuza Mungu anawaona , yule mzee alijaa roho ya ubinafsi , ukatili, katika kivuli cha kujifanya anatetea wanyonge, binafsi mpaka sasa nimekubali bila shaka Mungu analipenda Taifa hili kwa kiwango cha juu sasa wapo ambao wameanza jitoa ufaham ,Mda ni Mwalim
 
Shida ya Magufuli alikuwa mbele ya mda(kama karne moja)..Sera zake alitakiwa zikelezwe mwaka 2100,ndo wangemuelew...Matanzia wenye akili za kawaida hatutokuja kumuelewa hata kidogo,maana uchumi wa Kibepari ni complex sana na unaendeshwa kibabe na kisomi sana,matabaka yanayolengwa (hasa jamii za Kiafrika) ndiyo yanayotegemewa kustawisha uchumi wa Mataifa ya Kibepari kipitia njia haramu za kinyonyaji sna..Ikitokea Kiongozi mwenye maono ya kutaka kujinasua kweny mnyororo huo huondolewa kwa gharama yeyote ile..Usipokuwa na jamii inayojitambua, usalama wa viongozi kariba ya akina Magufuli,Gadafi,Tom Sankara,Paul Kagame nk,ni vigumu sana kwa viongozi kama hao kudumu,huishia Kaburini au Jela...Kumbuka umri wa kujitawala kwa nchi nyingi za kiafrika hautofautiani sana na nchi kama MALAYSIA,INDONESIA,VIETNAM,CHINA, nk lakini leo ukilinganisha uchumi wa Tanganyika na Malaysia ni tofauti ya level ya Mbingu na Ardhi..ukihoji nini shida?,Sisi Waafrika bado tumeshindwa kujitawala Kisiasa hadi kutawala rasilimali zetu halali kabisa,tumeshindwa vibaya mno kiasi kwamba tunaomba wakoloni warudi watujengee madaraja,viwanda,watuchimbie madini,watuendeahee bandari zetu,watulimie mashamba yetu kwa sera za Ubinafsishaji,ubia na uwekezaji..
 
Back
Top Bottom