Frustration
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,134
- 4,124
King'amuzi pekee chenye haki ya kurusha TPL 2018/2019 ni Azam. Wanajitaidi kidogo japo walitakiwa kuongeza maboresho kaza 2a kaza, maana kamera zao hazipo powa sana ki-graphics, point of view,sharpness na clear lights.
Ila ukiachana na hayo sijaelewa hili na nadhan hapa sio teknolojia bali ni watangazaji na mafundi mitambo.
WAKATI WA MAPUMZIKO
1. KUTOENDA SAWA NA KWA WAKATI. Anaeongea(tangaza) na kuweka(switch) video ni watu wawili tofauti hasa wakati wa maonyesho ya marudio na hawasikilizani na hawaelewani. mchambuzi(mtangazaji anahitaji replay lakini anashindwa pata hadi aletewe kwa mapenzi ya wanamitambo.
2. ZOOM YA REPLAY/MARUDIO
Hapa wamefeli kabisa. Marudio yao hayana Zoom na wakizum utaona chenga. Na hata mpira wa utata au goli hauwezi kupata kitu kipya tofauti ya kile origin pindi ina stream live zaidi nawaonaga wanarudia mara nyingi zaidi (kwa matakwa sio ya muongeaji maana nae huwa anashituka na kuanza kuelezea baada ya kuona na hukatisha mada yake ghafla)
3. ACTION INAPOKARIBIA KUISHA REPLAY INAANZA .
Hapa napo sijajua tatizo nn lakini kosa hili kwao ni kawaida sana na halitatuliwi.
REPLAY ZA GOAL, MISSED GOALS AND IMPORTANT EVENTS HAWAONYESHI.
Wao wanakimbilia kuongea na team captain then hao huku wakiacha mashabiki wakiulizana hivi goli lilifungwaje?
NDANI YA UWANZA
1. OFFSIDE LINE HAMNA.
OFFSIDE haichorwi mstari kuondoa utata bali wao huwaachia macho ya watazamaji kuwa rula. Na kuzua utata usio isha baada ya mechi.
2. TEAM STARTING 11 AND SUBSTITUTES.
Panakimbizwa mchaka mchaka hapo usipime sekunde 3 wanatoa, wana mda mwingi wa kuonyesha lakini hawafanyi hivyo.
1. MPIRA WA MBALI,KONANI KAMERA HAZIZUM.
Fixed Camera zao hazina uwezo mkubwa sana kuonyesha mbali maana ukizum graphic inayokuja ni uchavu kwa hiyo wafunge jirani na maeneo hayo.
ALL IN ALL TO YOU AZAM MEDIA WHEREVER YOU ARE REMEMBER, uwekezaji hauishii hapo mlipofikia lazima muwekeze vilivyo na ukizingatia nyie ni wauzaji wakubwa wa visambusi Tanzania.
Ila ukiachana na hayo sijaelewa hili na nadhan hapa sio teknolojia bali ni watangazaji na mafundi mitambo.
WAKATI WA MAPUMZIKO
1. KUTOENDA SAWA NA KWA WAKATI. Anaeongea(tangaza) na kuweka(switch) video ni watu wawili tofauti hasa wakati wa maonyesho ya marudio na hawasikilizani na hawaelewani. mchambuzi(mtangazaji anahitaji replay lakini anashindwa pata hadi aletewe kwa mapenzi ya wanamitambo.
2. ZOOM YA REPLAY/MARUDIO
Hapa wamefeli kabisa. Marudio yao hayana Zoom na wakizum utaona chenga. Na hata mpira wa utata au goli hauwezi kupata kitu kipya tofauti ya kile origin pindi ina stream live zaidi nawaonaga wanarudia mara nyingi zaidi (kwa matakwa sio ya muongeaji maana nae huwa anashituka na kuanza kuelezea baada ya kuona na hukatisha mada yake ghafla)
3. ACTION INAPOKARIBIA KUISHA REPLAY INAANZA .
Hapa napo sijajua tatizo nn lakini kosa hili kwao ni kawaida sana na halitatuliwi.
REPLAY ZA GOAL, MISSED GOALS AND IMPORTANT EVENTS HAWAONYESHI.
Wao wanakimbilia kuongea na team captain then hao huku wakiacha mashabiki wakiulizana hivi goli lilifungwaje?
NDANI YA UWANZA
1. OFFSIDE LINE HAMNA.
OFFSIDE haichorwi mstari kuondoa utata bali wao huwaachia macho ya watazamaji kuwa rula. Na kuzua utata usio isha baada ya mechi.
2. TEAM STARTING 11 AND SUBSTITUTES.
Panakimbizwa mchaka mchaka hapo usipime sekunde 3 wanatoa, wana mda mwingi wa kuonyesha lakini hawafanyi hivyo.
1. MPIRA WA MBALI,KONANI KAMERA HAZIZUM.
Fixed Camera zao hazina uwezo mkubwa sana kuonyesha mbali maana ukizum graphic inayokuja ni uchavu kwa hiyo wafunge jirani na maeneo hayo.
ALL IN ALL TO YOU AZAM MEDIA WHEREVER YOU ARE REMEMBER, uwekezaji hauishii hapo mlipofikia lazima muwekeze vilivyo na ukizingatia nyie ni wauzaji wakubwa wa visambusi Tanzania.