Shida ya Aziz Ki ni nguvu nyingi za miguu

Shida ya Aziz Ki ni nguvu nyingi za miguu

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Nguvu nyingi za miguu alizonazo Aziz zinamsumbua sana katika kukadiria kupiga mpira kutoa pasi na hata kulenga lango, yaani mpira unakwenda kasi mno, unaenda mbali au unapaa juu ya lango hata kama akiugusa kidogo tu.

Hata yeye anashangaa kwanini mpira hauendi pale alipoukusudia. Yeye anaona kama ameupiga kidogo tu lakini kumbe ameupiga sana. Hata watu wa boxing wana shida ya kukadiria kofi au ngumi pale wanapokusudia kutoa adhabu kidogo tu mtu.

Aangalie aina ya mazoezi yake pia kwenye gym.
 
Nguvu nyingi za miguu za miguu alizonazo Aziz zinamsumbua sana katika kukadiria kupiga mpira kutoa pasi na hata kulenga lango, yaani mpira unakwenda kasi mno, unaenda mbali au unapaa juu ya lango hata kama akiugusa kidogo TU. Hata yeye anashangaa kwanini mpira hauendi pale alipoukusudia. Yeye anaona kama ameupiga kidogo TU lakini kumbe ameupiga sana. Hata watu wa boxing Wana shida ya kukadiria Kofi au ngumi pale wanapokusudia kutoa athabu kidogo TU kwa mtoto, mkewe au mtu mwingine.

Aangalie aina ya mazoezi yake pia kwenye gym
Subiri j2 utaelezea Manula vizuri
 
Yaani ili huyu jamaa afanye vizuri uwanjani nilazima apate muda mrefu wa kucheza ili aweze kupata uzoefu wa kukadiria na balance ya guvu zake za miguu anapoupiga mpira. Kama kocha ataendelea kumpatia muda mfogo wa kucheza mechi ataendelea kumpoteza Aziz, atabaki na tatizo lake la kushindwa kukadiria nguvu na umbali wa kupiga mpira.

Huu Uzi watauelewa watu wachache sana wenye akili nyingi. Kama una akili ya kwendea chooni tafadhali usihangaike na Uzi huu.
 
Nguvu nyingi za miguu alizonazo Aziz zinamsumbua sana katika kukadiria kupiga mpira kutoa pasi na hata kulenga lango, yaani mpira unakwenda kasi mno, unaenda mbali au unapaa juu ya lango hata kama akiugusa kidogo tu.

Hata yeye anashangaa kwanini mpira hauendi pale alipoukusudia. Yeye anaona kama ameupiga kidogo tu lakini kumbe ameupiga sana. Hata watu wa boxing wana shida ya kukadiria kofi au ngumi pale wanapokusudia kutoa adhabu kidogo tu mtu.

Aangalie aina ya mazoezi yake pia kwenye gym.
Manura alishawahionja nguvu za mguu wa Aziz Ki
 
.
FB_IMG_1683024959845.jpg
 
Usituambie hivyo bana
Huyo uwezo wake ndiyo ulipoishia

Unataka kutuambia Aziz ndiyo mchezaji mwenye nguvu za miguu kuliko wachezaji wote duniani?

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Nadi keshanielewa ndio maana anampa air time nyingi siku hizi, ameshaanza kubalance nguvu zake za kuupiga mpira, mtaona kivumbi na jasho kutoka kwa Aziz mara atakapomaliza zoezi la kukadiria upigaji mpira (shuti na pasi). Waulize Singida Big stars wanamuoanaje Aziz kwa sasa.
Usituambie hivyo bana
Huyo uwezo wake ndiyo ulipoishia

Unataka kutuambia Aziz ndiyo mchezaji mwenye nguvu za miguu kuliko wachezaji wote duniani?

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
hizi
 
Back
Top Bottom