Shida ya Feisal Salum ni Ugali na Sukari au Manyanyaso? Mbona anatuchanganya!

Shida ya Feisal Salum ni Ugali na Sukari au Manyanyaso? Mbona anatuchanganya!

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Bado sijaelewa, huyu kijana anataka nini, maana kila baada ya muda mfupi anabadili maneno.

Mwanzo alisema analipwa kidogo hadi kushindwa kununua nyama, samaki na mchicha, kiasi cha kula Ugali na Sukari mithili ya Misukule ya maduka ya Kariakoo, sasa leo anasema aliondoka baada ya kunyanyaswa, sasa sisi tunaotaka kumsaidia hela za kwenda CAS tushike lipi?

Au ni kweli kwamba kuna watu nyuma yake wanamlisha maneno kiasi cha kusahau madai yake ya mwanzo?
 
Ukiona hujaelewa ujue ulikuwa unasikiliza short clips au kusoma highlights za waandishi wa habari kutoka kwenye speech yake.

Zile zinachanganya sana, ila hayo yote ameyaongea na alikuwa anaulizwa maswali kuhusiana na yale madai ambayo yalikuwa yanavuma
 
hata hapa najiulizahuko CAS fei na maandazi wenzie wanaenda kuongea nini?muislam mzima unakuwa mnafiki,kigeu geu,kupakazia watu ubaya...KWELI BORA KUCHAGUA ANDAZI
GSM alikuwa hapokei simu zake au ni uzushi?

Ni kweli Hersi aliomba radhi kwa mambo aliyomfanyia Feisali?

Ni kweli Feisali aliwahi kukaa masaa takribani 6 na Hersi kuzungumza kuwa anataka kuondoka, Hersi akamuambia nenda CAS?

Hayo ndio maswali ambayo yanatakiwa kujiuliza
 
Ukiona hujaelewa ujue ulikuwa unasikiliza short clips au kusoma highlights za waandishi wa habari kutoka kwenye speech yake.

Zile zinachanganya sana, ila hayo yote ameyaongea na alikuwa anaulizwa maswali kuhusiana na yale madai ambayo yalikuwa yanavuma
Kwamba mama yake na Andazi ndiyo hayo sijaelewa au kuna mengine
 
GSM alikuwa hapokei simu zake au ni uzushi?

Ni kweli Hersi aliomba radhi kwa mambo aliyomfanyia Feisali?

Ni kweli Feisali aliwahi kukaa masaa takribani 6 na Hersi kuzungumza kuwa anataka kuondoka, Hersi akamuambia nenda CAS?

Hayo ndio maswali ambayo yanatakiwa kujiuliza
kwaiyo haya ndo atakayoenda kuyazungumza CAS au!
 
GSM alikuwa hapokei simu zake au ni uzushi?

Ni kweli Hersi aliomba radhi kwa mambo aliyomfanyia Feisali?

Ni kweli Feisali aliwahi kukaa masaa takribani 6 na Hersi kuzungumza kuwa anataka kuondoka, Hersi akamuambia nenda CAS?

Hayo ndio maswali ambayo yanatakiwa kujiuliza
Hizi ndio hoja za kwenda nazo CAS? ila nyie watu
 
Bado sijaelewa, huyu kijana anataka nini, maana kila baada ya muda mfupi anabadili maneno.

Mwanzo alisema analipwa kidogo hadi kushindwa kununua nyama, samaki na mchicha, kiasi cha kula Ugali na Sukari mithili ya Misukule ya maduka ya Kariakoo, sasa leo anasema aliondoka baada ya kunyanyaswa, sasa sisi tunaotaka kumsaidia hela za kwenda CAS tushike lipi?

Au ni kweli kwamba kuna watu nyuma yake wanamlisha maneno kiasi cha kusahau madai yake ya mwanzo?
Hana ugomvi na Yanga, anaenda kushitaki CAS, huko CAS anashitakiwa Hersi au Club?

Mgomvi wake ni hersi , ugomvi wake binafsi na Hersi anaenda kuigomea club ambayo ndiyo ana mkataba nayo.
 
Hana ugomvi na Yanga, anaenda kushitaki CAS, huko CAS anashitakiwa Hersi au Club?

Mgomvi wake ni hersi , ugomvi wake binafsi na Hersi anaenda kuigomea club ambayo ndiyo ana mkataba nayo.
Inashangaza kwa kweli
 
Back
Top Bottom