Shida ya gari aina ya Toyota Porte kuwaka

mkadiriajimajenzi

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2015
Posts
549
Reaction score
614
Tatizo lilianza ghafla, indicators zikagoma kuwaka ,vioo havipandi na gari likazima, nilipojaribu kuliwasha tena taa zikawaka kwenye dashboard kama zinavyoonekana kwenye picha niliyoiambatanisha. Tafadhali wataalam naombeni ushauri wenu nini nifanye?leo nimejaribu kwenda kulichaji betri gari limewaka na kutembea kidogo lakini baada ya kulizima na kuwasha tenda likakataaView attachment 1047761
 
Tatizo litakuwa betri limekufa....
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…