Shida ya kiongozi wa sasa anaongoza nchi kwa hisia badala ya uhalisia

Shida ya kiongozi wa sasa anaongoza nchi kwa hisia badala ya uhalisia

The Assassin

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2018
Posts
4,942
Reaction score
20,077
Magufuli alipokaa miaka 6 (mwaka 2018/19 walimu waliongezewa kiasi kisichozidi elfu 10 kila mwalimu) bila nyongeza ya mishahara kwa watumishi wengine watu walimlalamikia sana.

Kwa tunaojua na kufuatilia uhalisia(facts) tulijua ni kwa nini Magufuli hakuwa anaongeza mishahara, ni kwa sababu Serikali haikuwa na uwezo wa kuongeza hata 2% ya nyongeza ya mishahara.

Hii ni kwa sababu nyongeza yoyote ya mshahara ingepandisha wage bill ya Serikali kufikia ama zaidi ya bilioni 800 kwa mwezi na Serikali ingeshindwa kujiendesha. Hili watu wa Serikali hata wizara ya fedha wanajua vizuri na hata Hagaya alikua analijua vizuri kabisa.

Simple facts ni hizi, kwanza tujue chanzo kikuu cha mapato ya serikali ni kodi, mikopo na misaada ya wahisani ama wadau wa maendeleo. Tukirudi kwenye makusanyo, TRA inakusanya wastani wa Trilioni 1.8 kwa mwezi, sawa na Trilioni 22.5 kwa mwaka.

Mishahara ya watumishi kwa mwezi ni Bilioni 700, kulipia madeni ya nje kwa mwezi ni bilioni 800 hivi, roughly jumla ni Trilioni 1.5, baki ni 300B, hapo hujatoa hela za kuendesha serikali yetu kubwa kwa mwezi ni zaidi ya hizo 300B, kwa maana nyingine hapo hakuna barabara, hakuna maji, hakuna madawa, hakuna chochote makusanyo yameisha.

Wakati huo huo una miradi ya maendeleo mikubwa kama SGR, JNHPP, na miradi mingine. Ukijumlisha vyote hivyo unaona kabisa nyongeza ya mishahara isingewezekana labda kama tungeachana na miradi ya maendeleo kama Julius Nyerere nk.

Mama yetu kwa kuyajua yote haya ukijumlisha na tozo na mikopo anayochukua sasa kama kuokota njugu lakini yeye akatumia hisia zaidi kuliko uhalisia wa kutangaza nyongeza ya mishahara ya 23% ila kwa kua facts hua hazidanganyi na hazibadiliki, ilipofika kwenye utekelezaji wakajikuta haiwezekani bora kila mtu awekewe flat rate ya 20,000 kama kifuta machozi

Miaka 6 unamuongezea mtu elfu 20 maana yake nini? Bora mngeacha tu.
 
Eti miaka 6 unamuongeza mtu 20000.
Hivi hii hesabu mbona hata chekechea anajua wewe muongo.
Hivi Serikali ya awamu ya 6 ina miaka 6? Acha kujifanya unajua mama Samia ameanza kutawala mwaka jana na tayari ameanza kuongeza mshahara kwa kuwajali wafanyakazi. Hivi akimaliza tena mwaka huu atajua wapi tena au aongeze kulingana na muda

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Magufuli alipokaa miaka 6 (mwaka 2018/19 walimu waliongezewa kiasi kisichozidi elfu 10 kila mwalimu) bila nyongeza ya mishahara kwa watumishi wengine watu walimlalamikia sana.

Kwa tunaojua na kufuatilia uhalisia(facts) tulijua ni kwa nini Magufuli hakua anaongeza mishahara, ni kwa sababu serikali haikua na uwezo wa kuongeza hata 2% ya nyongeza ya mishahara.

Hii ni kwa sababu nyongeza yoyote ya mshahara ingepandisha wage bill ya serikali kufikia ama zaidi yay bilioni 800 kwa mwezi na serikali ingeshindwa kujiendesha. Hili watu wa serikali hata wizara ya fedha wanajua vizuri na hata Hagaya alikua analijua vizuri kabisa.

Simple facts ni hizi, kwanza tujue chanzo kikuu cha mapato ya serikali ni kodi, mikopo na misaada ya wahisani ama wadau wa maendeleo. Tukirudi kwenye makusanyo, TRA inakusanya wastani wa Trilioni 1.8 kwa mwezi, sawa na Trilioni 22.5 kwa mwaka.

Mishahara ya watumishi kwa mwezi ni Bilioni 700, kulipia madeni ya nje kwa mwezi ni bilioni 800 hivi, roughly jumla ni Trilioni 1.5, baki ni 300B, hapo hujatoa hela za kuendesha serikali yetu kubwa kwa mwezi ni zaidi ya hizo 300B, kwa maana nyingine hapo hakuna barabara, hakuna maji, hakuna madawa, hakuna chochote makusanyo yameisha.

Wakati huo huo una miradi ya maendeleo mikubwa kama SGR, JNHPP, na miradi mingine. Ukijumlisha vyote hivyo unaona kabisa nyongeza ya mishahara isingewezekana labda kama tungeachana na miradi ya maendeleo kama Julius Nyerere nk.

Mama yetu kwa kuyajua yote haya ukijumlisha na tozo na mikopo anayochukua sasa kama kuokota njugu lakini yeye akatumia hisia zaidi kuliko uhalisia wa kutangaza nyongeza ya mishahara ya 23% ila kwa kua facts hua hazidanganyi na hazibadiliki, ilipofika kwenye utekelezaji wakajikuta haiwezekani bora kila mtu awekewe flat rate ya 20,000 kama kifuta machozi

Miaka 6 unamuongezea mtu elfu 20 maana yake nini? Bora mngeacha tu.
Haiwezekane mume akae jela mikaka sita halafu atoke amkute mkewe ana nyege muda wote alikuwa anasubili kupigwa mashine, halafu apigwe kimoja tena cha haraka Kama jogoo.
 
Ila pesa za kumlinda na kuharibu na kikundi chake zilikiwepo
 
Eti miaka 6 unamuongeza mtu 20000.
Hivi hii hesabu mbona hata chekechea anajua wewe muongo.
Hivi serekali ya awamu ya 6 ina miaka 6? Acha kujifanya unajua mama Samia ameanza kutawala mwaka jana na tayari ameanza kuongeza mshahara kwa kuwajali wafanyakazi. Hivi akimaliza tena mwaka huu atajua wapi tena au aongeze kulingana na muda

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Uwe unasoma na unaelewa. Miaka 6 ni ya watumishi kutokuongezewa mishahara. Ama kwa kua hawakuongezewa miaka ya nyuma basi huhesabu kwa kua hukuwepo wewe, sio?

Anyway hata kama tuliongelea mwaka mmoja wa hii Serikali, elfu 20 ya nyongeza inamsaidia nini mtu wakati ndani ya mwaka mmoja gharama za maisha zimepanda kwa asilimia 100?
 
Ila pesa za kumlinda na kuharibu na kikundi chake zilikiwepo
Kuharibu nini?

Usipende kuongea vitu general kama likasuku ama punguani, uwe unaweka specific cases ama facts.
 
Kwann kulazimisha kumaliza ng'ombe mzima ikiwa tumbo lako linatosha mguu tu? Angechagua mradi mmoja au miwili akamilishe huku raia wake nao wanapata nafasi ya kufanya maendeleo katika level ya familia kwa kuwaongezea mshahara.

Binadamu sisi wakati mwingine ni wachoyo na tunaficha uchoyo kwenye mwavuli wa maendeleo, Kiongozi analindwa, anaurithi wa kuwapa mpaka wajukuu, ana kila kitu ila anataka walio na kidogo wafunge mkanda, wasiweze kuachia urithi watoto wao hata wa nyumba ili wao wafanye miradi mikubwa kwa mara moja ibaki legacy.

Mm wajukuu zangu wakose urithi huku raisi watoto wake wana kila kitu sababu nilikuwa busy kufunga mkanda nchi iwe na ndege🤣? Uzalendo uanze katka level ya familia, otherwise wooote tufunge mikanda tufanane jambo ambalo najua ni gumu sababu sisi ni binadamu.

WAJUKUU ZANGU WAMSIFIE RAISI HUKU WAKINILAANI KWA KUKOSA PA KULALA? NOPE, ITATAFUTWA NJIA MBADALA HALALI. MAISHA NI VITA. BY THE WAY, NCHI IPO SANA, FANYA KWA UWEZO WAKO MPE MWINGINE HIVYO HIVYO HUKU UKIWEZESHA RAIA WAKO KUFANYA MAENDELEO KATIKA NGAZI YA FAMILIA.

RESPECT KWA JAKAYA M KIKWETE.
 
Magufuli alipokaa miaka 6 (mwaka 2018/19 walimu waliongezewa kiasi kisichozidi elfu 10 kila mwalimu) bila nyongeza ya mishahara kwa watumishi wengine watu walimlalamikia sana.

Kwa tunaojua na kufuatilia uhalisia(facts) tulijua ni kwa nini Magufuli hakua anaongeza mishahara, ni kwa sababu serikali haikua na uwezo wa kuongeza hata 2% ya nyongeza ya mishahara.

Hii ni kwa sababu nyongeza yoyote ya mshahara ingepandisha wage bill ya serikali kufikia ama zaidi yay bilioni 800 kwa mwezi na serikali ingeshindwa kujiendesha. Hili watu wa serikali hata wizara ya fedha wanajua vizuri na hata Hagaya alikua analijua vizuri kabisa.

Simple facts ni hizi, kwanza tujue chanzo kikuu cha mapato ya serikali ni kodi, mikopo na misaada ya wahisani ama wadau wa maendeleo. Tukirudi kwenye makusanyo, TRA inakusanya wastani wa Trilioni 1.8 kwa mwezi, sawa na Trilioni 22.5 kwa mwaka.

Mishahara ya watumishi kwa mwezi ni Bilioni 700, kulipia madeni ya nje kwa mwezi ni bilioni 800 hivi, roughly jumla ni Trilioni 1.5, baki ni 300B, hapo hujatoa hela za kuendesha serikali yetu kubwa kwa mwezi ni zaidi ya hizo 300B, kwa maana nyingine hapo hakuna barabara, hakuna maji, hakuna madawa, hakuna chochote makusanyo yameisha.

Wakati huo huo una miradi ya maendeleo mikubwa kama SGR, JNHPP, na miradi mingine. Ukijumlisha vyote hivyo unaona kabisa nyongeza ya mishahara isingewezekana labda kama tungeachana na miradi ya maendeleo kama Julius Nyerere nk.

Mama yetu kwa kuyajua yote haya ukijumlisha na tozo na mikopo anayochukua sasa kama kuokota njugu lakini yeye akatumia hisia zaidi kuliko uhalisia wa kutangaza nyongeza ya mishahara ya 23% ila kwa kua facts hua hazidanganyi na hazibadiliki, ilipofika kwenye utekelezaji wakajikuta haiwezekani bora kila mtu awekewe flat rate ya 20,000 kama kifuta machozi

Miaka 6 unamuongezea mtu elfu 20 maana yake nini? Bora mngeacha tu.
Hivi baada ya kupandishwa daraja,iliongezeka shilingi ngapi vile?[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Magufuli alipokaa miaka 6 (mwaka 2018/19 walimu waliongezewa kiasi kisichozidi elfu 10 kila mwalimu) bila nyongeza ya mishahara kwa watumishi wengine watu walimlalamikia sana.

Kwa tunaojua na kufuatilia uhalisia(facts) tulijua ni kwa nini Magufuli hakua anaongeza mishahara, ni kwa sababu serikali haikua na uwezo wa kuongeza hata 2% ya nyongeza ya mishahara.

Hii ni kwa sababu nyongeza yoyote ya mshahara ingepandisha wage bill ya serikali kufikia ama zaidi yay bilioni 800 kwa mwezi na serikali ingeshindwa kujiendesha. Hili watu wa serikali hata wizara ya fedha wanajua vizuri na hata Hagaya alikua analijua vizuri kabisa.

Simple facts ni hizi, kwanza tujue chanzo kikuu cha mapato ya serikali ni kodi, mikopo na misaada ya wahisani ama wadau wa maendeleo. Tukirudi kwenye makusanyo, TRA inakusanya wastani wa Trilioni 1.8 kwa mwezi, sawa na Trilioni 22.5 kwa mwaka.

Mishahara ya watumishi kwa mwezi ni Bilioni 700, kulipia madeni ya nje kwa mwezi ni bilioni 800 hivi, roughly jumla ni Trilioni 1.5, baki ni 300B, hapo hujatoa hela za kuendesha serikali yetu kubwa kwa mwezi ni zaidi ya hizo 300B, kwa maana nyingine hapo hakuna barabara, hakuna maji, hakuna madawa, hakuna chochote makusanyo yameisha.

Wakati huo huo una miradi ya maendeleo mikubwa kama SGR, JNHPP, na miradi mingine. Ukijumlisha vyote hivyo unaona kabisa nyongeza ya mishahara isingewezekana labda kama tungeachana na miradi ya maendeleo kama Julius Nyerere nk.

Mama yetu kwa kuyajua yote haya ukijumlisha na tozo na mikopo anayochukua sasa kama kuokota njugu lakini yeye akatumia hisia zaidi kuliko uhalisia wa kutangaza nyongeza ya mishahara ya 23% ila kwa kua facts hua hazidanganyi na hazibadiliki, ilipofika kwenye utekelezaji wakajikuta haiwezekani bora kila mtu awekewe flat rate ya 20,000 kama kifuta machozi

Miaka 6 unamuongezea mtu elfu 20 maana yake nini? Bora mngeacha tu.
Tatizo la nchi yetu ni uongozi mbovu unaotokana na mfumo mbovu wa muda mrefu wa siasa za CCM. Tunapaswa kuondokana na mfumo huu!
 
Magufuli alipokaa miaka 6 (mwaka 2018/19 walimu waliongezewa kiasi kisichozidi elfu 10 kila mwalimu) bila nyongeza ya mishahara kwa watumishi wengine watu walimlalamikia sana.

Kwa tunaojua na kufuatilia uhalisia(facts) tulijua ni kwa nini Magufuli hakua anaongeza mishahara, ni kwa sababu serikali haikua na uwezo wa kuongeza hata 2% ya nyongeza ya mishahara.

Hii ni kwa sababu nyongeza yoyote ya mshahara ingepandisha wage bill ya serikali kufikia ama zaidi yay bilioni 800 kwa mwezi na serikali ingeshindwa kujiendesha. Hili watu wa serikali hata wizara ya fedha wanajua vizuri na hata Hagaya alikua analijua vizuri kabisa.

Simple facts ni hizi, kwanza tujue chanzo kikuu cha mapato ya serikali ni kodi, mikopo na misaada ya wahisani ama wadau wa maendeleo. Tukirudi kwenye makusanyo, TRA inakusanya wastani wa Trilioni 1.8 kwa mwezi, sawa na Trilioni 22.5 kwa mwaka.

Mishahara ya watumishi kwa mwezi ni Bilioni 700, kulipia madeni ya nje kwa mwezi ni bilioni 800 hivi, roughly jumla ni Trilioni 1.5, baki ni 300B, hapo hujatoa hela za kuendesha serikali yetu kubwa kwa mwezi ni zaidi ya hizo 300B, kwa maana nyingine hapo hakuna barabara, hakuna maji, hakuna madawa, hakuna chochote makusanyo yameisha.

Wakati huo huo una miradi ya maendeleo mikubwa kama SGR, JNHPP, na miradi mingine. Ukijumlisha vyote hivyo unaona kabisa nyongeza ya mishahara isingewezekana labda kama tungeachana na miradi ya maendeleo kama Julius Nyerere nk.

Mama yetu kwa kuyajua yote haya ukijumlisha na tozo na mikopo anayochukua sasa kama kuokota njugu lakini yeye akatumia hisia zaidi kuliko uhalisia wa kutangaza nyongeza ya mishahara ya 23% ila kwa kua facts hua hazidanganyi na hazibadiliki, ilipofika kwenye utekelezaji wakajikuta haiwezekani bora kila mtu awekewe flat rate ya 20,000 kama kifuta machozi

Miaka 6 unamuongezea mtu elfu 20 maana yake nini? Bora mngeacha tu.
Mama anapotoshwa
 
Back
Top Bottom