Shida ya maji Mara: Kinamama wamlilia Rais Samia awatatulie shida yao

Shida ya maji Mara: Kinamama wamlilia Rais Samia awatatulie shida yao

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
14,255
Reaction score
23,949
Tutegeni masikio tusikilize!
---
Wananchi wa Mkoa wa Mara wamejitokeza kutoa malalamiko yako kuhusu shida ya maji katika Mkoa wao.

Wakazi hao wanadai maji yanayopatikana ni mabaya yanawasababishia muwasho na kuwafanya watokewe na unga unga. Aidha, wanadai maji hayo yamewashinda hata mifugo ya Mkoa huo.

Wakazi hao ambao wengi wao ni Kinamama wametoa wito kwa Rais Samia kuingilia kati ya kutatua shida yao ili waondokane na adha hiyo.
 
Alisema yeye ni chura kiziwi. Unaongea yanapitia huku yanatokea kule
 
Screenshot_20240709-003505.jpg
 
Samia akichaguliwa na wananchi 2025 kuwa rais, nipigwe life ban hapa JF
 
Uchaguzi ukifika CCM mbele kwa mbele, pumbafu zenyu.
 
Tutegeni masikio tusikilize!
---
Wananchi wa Mkoa wa Mara wamejitokeza kutoa malalamiko yako kuhusu shida ya maji katika Mkoa wao.

Wakazi hao wanadai maji yanayopatikana ni mabaya yanawasababishia muwasho na kuwafanya watokewe na unga unga. Aidha, wanadai maji hayo yamewashinda hata mifugo ya Mkoa huo.

Wakazi hao ambao wengi wao ni Kinamama wametoa wito kwa Rais Samia kuingilia kati ya kutatua shida yao ili waondokane na adha hiyo.
View attachment 3040686
Si inasemekana Tz ndio ina waziri bora wa maji kushinda wote duniani! imekuwaje tena?
 
Tutegeni masikio tusikilize!
---
Wananchi wa Mkoa wa Mara wamejitokeza kutoa malalamiko yako kuhusu shida ya maji katika Mkoa wao.

Wakazi hao wanadai maji yanayopatikana ni mabaya yanawasababishia muwasho na kuwafanya watokewe na unga unga. Aidha, wanadai maji hayo yamewashinda hata mifugo ya Mkoa huo.

Wakazi hao ambao wengi wao ni Kinamama wametoa wito kwa Rais Samia kuingilia kati ya kutatua shida yao ili waondokane na adha hiyo.
View attachment 3040686
Badala wainhia Barabarani wanamlilia? Maji ni hitaji la msingi la mwanadamu
 
Huko Mara ni sikio la Kufa ,Ziwa liko hapo hapo lakini maji kero sana. Pale Butiama ni nyumbani kwa baba wa Taifa lakini huu mwaka mimi nimeona maji kwenye bomba mara 2 tu.
 
Back
Top Bottom