peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Duh,Tutege masikio tusikilize!
Haha,Sisiemu ikipata Jimbo Moja mkoa wa Mara, nitawapa eneo la kujenga ofisi za chama chao Bure.
Na watapata hata yote Mkuu, kule kuna mazombie walishalogwa na Nyenyere hawaelewi kitu.Sisiemu ikipata Jimbo Moja mkoa wa Mara, nitawapa eneo la kujenga ofisi za chama chao Bure.
Si inasemekana Tz ndio ina waziri bora wa maji kushinda wote duniani! imekuwaje tena?Tutegeni masikio tusikilize!
---
Wananchi wa Mkoa wa Mara wamejitokeza kutoa malalamiko yako kuhusu shida ya maji katika Mkoa wao.
Wakazi hao wanadai maji yanayopatikana ni mabaya yanawasababishia muwasho na kuwafanya watokewe na unga unga. Aidha, wanadai maji hayo yamewashinda hata mifugo ya Mkoa huo.
Wakazi hao ambao wengi wao ni Kinamama wametoa wito kwa Rais Samia kuingilia kati ya kutatua shida yao ili waondokane na adha hiyo.
View attachment 3040686
Sisiemu ikipata Jimbo Moja mkoa wa Mara, nitawapa eneo la kujenga ofisi za chama chao Bure.
Yule anatembea kwa nyota za wake zake wawiliSi inasemekana Tz ndio ina waziri bora wa maji kushinda wote duniani! imekuwaje tena?
RC wa mkoa hovyo! DC hovyo! PCCB hovyo! DED hovyo! Wananchi waelekee wapi?Maji mpaka rais? Hii nchi ni ya hovyo sana!
Kama hilo jimbo Waitara hawezi kutoboa kamweHaha,
ccm wanaweza kushinda kwa kishindo huko kwa kuwa ushindi wao hautegemei kura
Ni mgodi gani unaolalamikiwa kuchafua maju maji ya mto huo mkuu?Sisiemu ikipata Jimbo Moja mkoa wa Mara, nitawapa eneo la kujenga ofisi za chama chao Bure.
Badala wainhia Barabarani wanamlilia? Maji ni hitaji la msingi la mwanadamuTutegeni masikio tusikilize!
---
Wananchi wa Mkoa wa Mara wamejitokeza kutoa malalamiko yako kuhusu shida ya maji katika Mkoa wao.
Wakazi hao wanadai maji yanayopatikana ni mabaya yanawasababishia muwasho na kuwafanya watokewe na unga unga. Aidha, wanadai maji hayo yamewashinda hata mifugo ya Mkoa huo.
Wakazi hao ambao wengi wao ni Kinamama wametoa wito kwa Rais Samia kuingilia kati ya kutatua shida yao ili waondokane na adha hiyo.
View attachment 3040686