Shida ya nchi hii tuna wabunge vilaza wakiongozwa na spika. Eti spika anashadadia ajira za kunitolea. Hii ni failure ya serikali kabisa

Shida ya nchi hii tuna wabunge vilaza wakiongozwa na spika. Eti spika anashadadia ajira za kunitolea. Hii ni failure ya serikali kabisa

deblabant

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2022
Posts
2,650
Reaction score
4,065
Spika kabisa unaona poa kushadadi ajira za kujitolea yaani mtu anasoma mpaka university halafu manaona kumpa cheap labour ndo halali yake, kweli.

Badala ya spika wa bunge kukemea hilo we ndo kwanza unaona poa tu unalitumia kuwakandamiza wengine ili nao wajitolee ili kupata kazi.

Halafu mobunge ilivyo mizezeta haikemei hilo kabisa.

Mchi hii tuna wasomi kweli au wasomi wa boom tu. Where are the critical thinkes as before?
 
Spika kabisa unaona poa kushadadi ajira za kujitolea yaani mtu anasoma mpaka university halafu manaona kumpa cheap labour ndo halali yake, kweli.

Badala ya spika wa bunge kukemea hilo we ndo kwanza unaona poa tu unalitumia kuwakandamiza wengine ili nao wajitolee ili kupata kazi.

Halafu mobunge ilivyo mizezeta haikemei hilo kabisa.

Mchi hii tuna wasomi kweli au wasomi wa boom tu. Where are the critical thinkes as before?
Yaani wana normalize failure, as if ni kitu cha kujisifia. Na hawa ndio decision makers wa nchi? Tuna safari ndefu
 
Spika kabisa unaona poa kushadadi ajira za kujitolea yaani mtu anasoma mpaka university halafu manaona kumpa cheap labour ndo halali yake, kweli.

Badala ya spika wa bunge kukemea hilo we ndo kwanza unaona poa tu unalitumia kuwakandamiza wengine ili nao wajitolee ili kupata kazi.

Halafu mobunge ilivyo mizezeta haikemei hilo kabisa.

Mchi hii tuna wasomi kweli au wasomi wa boom tu. Where are the critical thinkes as before?
Kwa maana hiyo KAZI zipo ila changamoto ni namna ya kuwalipa watakaopewa hizo kazi? Kama kweli ndo hivyo; hayo malipo ya Nights out na sitting allowances + ununuzi wa magari mapya ya bei mbaya etc mbona havikosekani?; Ni hayo tu.
 
Yaani wana normalize failure, as if ni kitu cha kujisifia. Na hawa ndio decision makers wa nchi? Tuna safari ndefu
Sio tu eti "Tuna safari ndefu" bali ungesema "Tuna safari ngumu tusiyoijua hatima yake".
 
Back
Top Bottom