Yaani inashangaza sana hii timu asee mpira umebadorika sana kwa sasa africa ila somba bado inadhani mpira ni uleule.Hakika mkuu
Kwamba Simba needs a wing playerKwani winga kazi yake nini
hao wachezaji ni long term scouting, sio wa kuwavizia.Yaani inashangaza sana hii timu asee mpira umebadorika sana kwa sasa africa ila somba bado inadhani mpira ni uleule.
Unashindwa vipi kusajili wachezaji wenye vipaji sample ya paccome na kina boka au yaoyao..yaani Viongozi wa simba wanatukosea sanasana.
Yanga wameweza vipi simba inashindwa vipi..?hao wachezaji ni long term scouting, sio wa kuwavizia.
yanga wanafanya scout ya, mwakani sasa hivi. wapo katika constant scouting. simba ni vibes tuYanga wameweza vipi simba inashindwa vipi..?
Kabisa yaani..yanga wanafanya scout ya, mwakani sasa hivi. wapo katika constant scouting. simba ni vibes tu
Wachezaji wakisajiliwa Simba wanakuwa wabovu, hata kina Pacome na Boka wakienda Simba mtawakataaYaani inashangaza sana hii timu asee mpira umebadorika sana kwa sasa africa ila somba bado inadhani mpira ni uleule.
Unashindwa vipi kusajili wachezaji wenye vipaji sample ya paccome na kina boka au yaoyao..yaani Viongozi wa simba wanatukosea sanasana.
Shida ya simba wanashindwa kuwalinda wachezaji wao,Yaani inashangaza sana hii timu asee mpira umebadorika sana kwa sasa africa ila somba bado inadhani mpira ni uleule.
Unashindwa vipi kusajili wachezaji wenye vipaji sample ya paccome na kina boka au yaoyao..yaani Viongozi wa simba wanatukosea sanasana.
Braza ee, wewe huyo mpanzu ulimuona wapi? Mana Ligi ya Drc haionyeshwi kokote..Simba tunahitaji washambuliaji hatari aina ya Mpanzu,,
Na sio kulundika kundi la washambuliaji machachari.
Big up uongozi wa sinba kwa kumleta Mpanzu.
Messi na ronaldo ulishawahi kuwaona wp zaidi ya kwenye tv?Braza ee, wewe huyo mpanzu ulimuona wapi? Mana Ligi ya Drc haionyeshwi kokote..
Ulimuona kwny mechi ipi.
Au unaendeshwa na mkumbo.
Hiyo As Vita yenyewe ilishapotea kwny ushindani kitambo sana...Hata Namungo tu haiwezi kuifunga.
Fikiria Kama leo kuna wachezaji kutoka As Vita wanasajiriwa Singida na wanakalia benchi..