covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 6,967
- 17,452
Yaani inashangaza sana hii timu asee mpira umebadorika sana kwa sasa africa ila somba bado inadhani mpira ni uleule.Hakika mkuu
Unashindwa vipi kusajili wachezaji wenye vipaji sample ya paccome na kina boka au yaoyao..yaani Viongozi wa simba wanatukosea sanasana.