Shida ya Taifa letu ni vita kati ya ujamaa na ubepari. Tuchague moja kati ya hayo

Shida ya Taifa letu ni vita kati ya ujamaa na ubepari. Tuchague moja kati ya hayo

ZALEMDA

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2017
Posts
1,956
Reaction score
2,225
Soma hii hapa chini

Freeman Mbowe alianza kufanya biashara akiwa na miaka 23,anasema hali ya biashara nchini ilikuwa mbaya baada ya Azimio la Arusha. Pia Mbowe anasema baba yake alikataa Ujamaa na ndipo walipo tengana na Mwalimu akamwambia “tutabaki marafiki lakini niache niendelee na biashara zangu"

Hapa ndipo vita iliyopo mjamaa na mbepari.

Ukijifanya mjamaa sharti uumizwe vibaya sana. Hayati Dkt. Magufuli alikuwa mjamaa kati ya mabepari mbwamwitu

Mfanyabishara wa Tanzania ni mbepari na siyo mjamaa.Ndiyo maana ni wakwepa kodi wakubwa.Hawako tayari kuwa mawakala wa serikali kutusaidia kukusanya kodi kutoka kwa wananchi

Ukifanya vita na wafanyabiasha utaumia sana. Hili Hayati Magufuli alilijua lakini hakuwa makini sana na mahala pengine yawezekana alikuwa peke yake. Waliyomzunguka walikuwa mabepari na ndiyo maana baada ya kufariki tumeona wengi wa kupanua midomo kupinga sera zake.

Tunaitaji kufanya reforms ili kama taifa tuchakue kuwa wajamaa au mabepari. Bila hivyo kuendelea na yote ma wili tutaumizana bure Unahitaji akili nyingi kufanya urafiki na mbepari wakati wewe ni mjamaa. eg Kenya vs Tanzania.

Nawapenda wabepari kwa sababu wanafanya kazi kwa bidii. Ukiniambia kati ya mtanzania na mkenya nani wa kuajiri kwanza nitakwambia Mkenya.

Falsafa ya mbepari ni: Chukua chako kwanza, yani ni wakina vyangu vyangu kwanza, vyetu baadaye.

Hata sera ya majimbo ya chadema ni mbepari mtupu. Vyangu vyangu kwanza. kidogo vitakuwa vyetu.
 
So nchi zote za kibepari watu wao ni matajiri.
 
Hakuna vita ya hivyo.Vita yetu ni Uvivu na umaskini wa wananchi wetu.
 
Hawawez kukubali ujamaa maana watakosa mikopo kutoka kwa mabepari (marekani)

Hawawezi kuwa mabepari maana watakosa mikopo kutoka kwa wanaujamaa (china)

Kilichobaki sasa, wanacheza kama pele kulia&kushoto
 
Kumiliki mali kuliko wenzako ikiwezekana ndio asili ya mwanadamu. Na kwa Hili hata CHADEMA wameliacha mbali sana na ki uasilia inakuwa vigumu kuchagua kati ya CCM na CHADEMA.
 
Soma hii hapa chini

Freeman Mbowe alianza kufanya biashara akiwa na miaka 23,anasema hali ya biashara nchini ilikuwa mbaya baada ya Azimio la Arusha. Pia Mbowe anasema baba yake alikataa Ujamaa na ndipo walipo tengana na Mwalimu akamwambia “tutabaki marafiki lakini niache niendelee na biashara zangu"

Hapa ndipo vita iliyopo mjamaa na mbepari.

Ukijifanya mjamaa sharti uumizwe vibaya sana. Hayati Dkt. Magufuli alikuwa mjamaa kati ya mabepari mbwamwitu

Mfanyabishara wa Tanzania ni mbepari na siyo mjamaa.Ndiyo maana ni wakwepa kodi wakubwa.Hawako tayari kuwa mawakala wa serikali kutusaidia kukusanya kodi kutoka kwa wananchi

Ukifanya vita na wafanyabiasha utaumia sana. Hili Hayati Magufuli alilijua lakini hakuwa makini sana na mahala pengine yawezekana alikuwa peke yake. Waliyomzunguka walikuwa mabepari na ndiyo maana baada ya kufariki tumeona wengi wa kupanua midomo kupinga sera zake.

Tunaitaji kufanya reforms ili kama taifa tuchakue kuwa wajamaa au mabepari. Bila hivyo kuendelea na yote ma wili tutaumizana bure Unahitaji akili nyingi kufanya urafiki na mbepari wakati wewe ni mjamaa. eg Kenya vs Tanzania.

Nawapenda wabepari kwa sababu wanafanya kazi kwa bidii. Ukiniambia kati ya mtanzania na mkenya nani wa kuajiri kwanza nitakwambia Mkenya.

Falsafa ya mbepari ni: Chukua chako kwanza, yani ni wakina vyangu vyangu kwanza, vyetu baadaye.

Hata sera ya majimbo ya chadema ni mbepari mtupu. Vyangu vyangu kwanza. kidogo vitakuwa vyetu.
Mfumo sahihi unaondesha Dunia na Uchumi wa Dunia ni Ubepari, Ujamaa ni mbinu na wanasiasa kutaka kutawala watu na kuwapora mali zao, Kwani ili uwatawale watu ni lazima uwafanye masikini na ujifanye masikini wakati una prívale jet, magari ya kifahari, pesa za kutosha, Mahekalu na una maelfu ya walinzi, Ujamaa ni laana na ubepari ni Baraka
 
Hawawez kukubali ujamaa maana watakosa mikopo kutoka kwa mabepari (marekani)

Hawawezi kuwa mabepari maana watakosa mikopo kutoka kwa wanaujamaa (china)

Kilichobaki sasa, wanacheza kama pele kulia&kushoto
China sio wajamaa ni maperi wakubwa sana, ni udanganyifu wanautumia ili kuwapata wale ambao bado wanaamini kwenye ujamaa.
 
Soma hii hapa chini

Freeman Mbowe alianza kufanya biashara akiwa na miaka 23,anasema hali ya biashara nchini ilikuwa mbaya baada ya Azimio la Arusha. Pia Mbowe anasema baba yake alikataa Ujamaa na ndipo walipo tengana na Mwalimu akamwambia “tutabaki marafiki lakini niache niendelee na biashara zangu"

Hapa ndipo vita iliyopo mjamaa na mbepari.

Ukijifanya mjamaa sharti uumizwe vibaya sana. Hayati Dkt. Magufuli alikuwa mjamaa kati ya mabepari mbwamwitu

Mfanyabishara wa Tanzania ni mbepari na siyo mjamaa.Ndiyo maana ni wakwepa kodi wakubwa.Hawako tayari kuwa mawakala wa serikali kutusaidia kukusanya kodi kutoka kwa wananchi

Ukifanya vita na wafanyabiasha utaumia sana. Hili Hayati Magufuli alilijua lakini hakuwa makini sana na mahala pengine yawezekana alikuwa peke yake. Waliyomzunguka walikuwa mabepari na ndiyo maana baada ya kufariki tumeona wengi wa kupanua midomo kupinga sera zake.

Tunaitaji kufanya reforms ili kama taifa tuchakue kuwa wajamaa au mabepari. Bila hivyo kuendelea na yote ma wili tutaumizana bure Unahitaji akili nyingi kufanya urafiki na mbepari wakati wewe ni mjamaa. eg Kenya vs Tanzania.

Nawapenda wabepari kwa sababu wanafanya kazi kwa bidii. Ukiniambia kati ya mtanzania na mkenya nani wa kuajiri kwanza nitakwambia Mkenya.

Falsafa ya mbepari ni: Chukua chako kwanza, yani ni wakina vyangu vyangu kwanza, vyetu baadaye.

Hata sera ya majimbo ya chadema ni mbepari mtupu. Vyangu vyangu kwanza. kidogo vitakuwa vyetu.
Tunahitaji sera zenye mchanganyiko wa harufu mbili ya kijamaa na ubepari mixed economy. Yako mazuri ya ujamaa na yapo mazuri ya kibepari. Mchanganyiko wenye chemistry nzuri unaweza kutufikisha mbali. Mfano yako maeneo yanayohitaji state intervation au state monopoly hata ulaya wamefanya hivyo bandari, reli, usalama na ulinzi, ardhi, madini na mali za majini. Maeneo mengine yanahitaji Partnerships. Nchi za china, Scandinavia zimeweza kuja na state welfarism inayochukua vipande vya ujamaa na ubepari na wamefanikiwa sana.
 
Back
Top Bottom