Shida ya umeme mkoa wa Pwani kubaki historia. Bil. 130/- zatengwa kumaliza kabisa tatizo

Shida ya umeme mkoa wa Pwani kubaki historia. Bil. 130/- zatengwa kumaliza kabisa tatizo

Getrude Mollel

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2022
Posts
270
Reaction score
362
Serikali ya Rais Samia Suluhu itatumia kiasi cha Tsh. Bil 130/- kwenye ujenzi wa kituo cha kupooza umeme Chalinze mkoani Pwani. Kituo hiko kinatajwa kuwa kikubwa, na cha kwanza nchini ambacho kitakuwa na jukumu la kupooza umeme unaotoka katika bwawa la Mwalimu Nyerere (JNHPP).

Mradi huo unaitwa (400 | 220/132 | 33 kV), utakapokamilika utasambaza umeme katika mikoa mbalimbali nchini na nje ya nchi, ikiwemo Zambia ambapo kwa sasa, umefikia 17%.

Alisema kituo hicho , kinatarajia kupokea kV 400 za umeme kwa mara ya kwanza ya kwanza kutoka bwawa hilo, kisha kilovoti 200 na kilovoti 132 ambao utapelekwa Dar es Salaam, Dodoma na maeneo mbalimbali ya ndani na nje na ndani ya nchi.
 
Serikali ya Rais Samia Suluhu itatumia kiasi cha Tsh. Bil 130/- kwenye ujenzi wa kituo cha kupooza umeme Chalinze mkoani Pwani. Kituo hiko kinatajwa kuwa kikubwa, na cha kwanza nchini ambacho kitakuwa na jukumu la kupooza umeme unaotoka katika bwawa la Mwalimu Nyerere (JNHPP).

Mradi huo unaitwa (400 | 220/132 | 33 kV), utakapokamilika utasambaza umeme katika mikoa mbalimbali nchini na nje ya nchi, ikiwemo Zambia ambapo kwa sasa, umefikia 17%.

Alisema kituo hicho , kinatarajia kupokea kV 400 za umeme kwa mara ya kwanza ya kwanza kutoka bwawa hilo, kisha kilovoti 200 na kilovoti 132 ambao utapelekwa Dar es Salaam, Dodoma na maeneo mbalimbali ya ndani na nje na ndani ya nchi.
Unakumbuka tulivyoambiwa kuhusu gesi ya Songosongo ?

Wadanganyeni Wajinga
 
Serikali ya Rais Samia Suluhu itatumia kiasi cha Tsh. Bil 130/- kwenye ujenzi wa kituo cha kupooza umeme Chalinze mkoani Pwani. Kituo hiko kinatajwa kuwa kikubwa, na cha kwanza nchini ambacho kitakuwa na jukumu la kupooza umeme unaotoka katika bwawa la Mwalimu Nyerere (JNHPP).

Mradi huo unaitwa (400 | 220/132 | 33 kV), utakapokamilika utasambaza umeme katika mikoa mbalimbali nchini na nje ya nchi, ikiwemo Zambia ambapo kwa sasa, umefikia 17%.

Alisema kituo hicho , kinatarajia kupokea kV 400 za umeme kwa mara ya kwanza ya kwanza kutoka bwawa hilo, kisha kilovoti 200 na kilovoti 132 ambao utapelekwa Dar es Salaam, Dodoma na maeneo mbalimbali ya ndani na nje na ndani ya nchi.
Hivi wewe vyangu madoa hunaga kazi ya kufanya!?
 
Huwa najiuliza wewe kigongwe una akili timamu kweli? maana huwa unaleta ujinga wako hapa jukwaani
 
Serikali ya Rais Samia Suluhu itatumia kiasi cha Tsh. Bil 130/- kwenye ujenzi wa kituo cha kupooza umeme Chalinze mkoani Pwani. Kituo hiko kinatajwa kuwa kikubwa, na cha kwanza nchini ambacho kitakuwa na jukumu la kupooza umeme unaotoka katika bwawa la Mwalimu Nyerere (JNHPP).

Mradi huo unaitwa (400 | 220/132 | 33 kV), utakapokamilika utasambaza umeme katika mikoa mbalimbali nchini na nje ya nchi, ikiwemo Zambia ambapo kwa sasa, umefikia 17%.

Alisema kituo hicho , kinatarajia kupokea kV 400 za umeme kwa mara ya kwanza ya kwanza kutoka bwawa hilo, kisha kilovoti 200 na kilovoti 132 ambao utapelekwa Dar es Salaam, Dodoma na maeneo mbalimbali ya ndani na nje na ndani ya nchi.
ID mpya. Mwandishi yule yule🤣🤣
 
Serikali ya Rais Samia Suluhu itatumia kiasi cha Tsh. Bil 130/- kwenye ujenzi wa kituo cha kupooza umeme Chalinze mkoani Pwani. Kituo hiko kinatajwa kuwa kikubwa, na cha kwanza nchini ambacho kitakuwa na jukumu la kupooza umeme unaotoka katika bwawa la Mwalimu Nyerere (JNHPP).

Mradi huo unaitwa (400 | 220/132 | 33 kV), utakapokamilika utasambaza umeme katika mikoa mbalimbali nchini na nje ya nchi, ikiwemo Zambia ambapo kwa sasa, umefikia 17%.

Alisema kituo hicho , kinatarajia kupokea kV 400 za umeme kwa mara ya kwanza ya kwanza kutoka bwawa hilo, kisha kilovoti 200 na kilovoti 132 ambao utapelekwa Dar es Salaam, Dodoma na maeneo mbalimbali ya ndani na nje na ndani ya nchi.
Itekelezwe kwa wakati tu, adha kwa wananchi zipungue.
 
Back
Top Bottom