oringa kazenga
Member
- Feb 13, 2020
- 9
- 7
Polee sana ngoja wanakuja watakoeweza kukupa msaada ukapona ndugHapana wakipima miwani hakuna lens inayonisaidia kuona vizuri kwani wanasema lens ya jicho haina shida, tatizo ni neva zinazo hukua taarifa kwenda kwenye ubongo
Habari ndugu zangu wanajamii, Mimi nina shida ya kuona vizuri tangu mwaka 2018, Nimeenda hospitali kama muhimili na Dr Agarwal nilipewa dawa ya vitamini wakidai ni shida ya neva za kuona. Leo hii nilkua darasani nikawa imeingia chumba chenye AC na feni macho yameanza kuniwasha sana baadae kipindi kiliisha nikatoka nilivorudi nikawa nimelala kama dk 10 nimeshituka kushika simu sioni kabisa hali imekua mbaya zaidi naomba ushauri ndugu kwa anayejua dawa ya hili tatizo au ushauri naomben jamani napata taabu sana na haya mapambano, Natanguliza shukurani.🙏
Asante kwa ushauri ndgPole sana.
Ni vyema ukarudi hospital kwa ajili ya uchunguzi zaidi na matibabu.
Kila la kheri.
Asante, naomba ufafanuzi zaid ni huu mti nauskia wa mnyonyo au?Pole sana, tafuta mafuta ya nyonyo yale original uwe unapaka wakati unaenda kulala usiku juu ya macho, mpaka uone mafanikio.