oringa kazenga
Member
- Feb 13, 2020
- 9
- 7
Habari ndugu zangu wanajamii, Mimi nina shida ya kuona vizuri tangu mwaka 2018, Nimeenda hospitali kama muhimili na Dr Agarwal nilipewa dawa ya vitamini wakidai ni shida ya neva za kuona. Leo hii nilkua darasani nikawa imeingia chumba chenye AC na feni macho yameanza kuniwasha sana baadae kipindi kiliisha nikatoka nilivorudi nikawa nimelala kama dk 10 nimeshituka kushika simu sioni kabisa hali imekua mbaya zaidi naomba ushauri ndugu kwa anayejua dawa ya hili tatizo au ushauri naomben jamani napata taabu sana na haya mapambano, Natanguliza shukurani.🙏