KERO Shida ya Usafiri Wilayani Rombo, Mkoa wa Kilimanjaro

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

runtown

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2018
Posts
844
Reaction score
1,163
Wazee hapa mtusaidie tu kupaza sauti maana hali sio shwari kipindi hiki cha watu kurudi makazini kwao.

Polisi kitengo cha usalama barabarani wamezuia magari kwa kigezo cha uhakiki wa leseni kitu ambacho kimesababisha shida na kero kwa wasafiri wilayani Rombo.

Mtu unakaa stand hadi unachoka na kupata gari hupati na ukipata sehemu ya nauli 1000 unaenda hadi na 3000.
 
Wewe ni mgeni huko ? Miaka yote kipindi kama hiki usafiri unasumbua sana,,,, ni kipnd ambacho sikukuu zimeisha watu wanarudi makazini kwao, pia ni kipindi shule zinafunguliwa wanafunzi wengi wanaenda kuripoti !







Pia usisahau wilaya ya rombo huenda ndio wilaya inayopata wageni wengi sana msimu wa krismass na mwaka mpya compared to wilaya nyinginezo !
 
Ni vyema wasikague leseni waache magari yatembee huru kama zifanyavyo bodaboda.
 
Me ni dereva ni kua kuna trafic hawaweka utaratibu mzuri wa kazi yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…