Mlikuwa hamjakutana na timu bora, ndiyo maana hao wabovu mkiwafunga mlikuwa mnatamba mpaka inakuwa kero mitaani hadi kupelekea NEMC walete sheria ya mazingira ili kuzuia upigaji wa fujo😅😅😅
Yanga ndio nini??nlishawahi kusema google na app kibao za soka haiitambui hiyo timu,mkasema mie kinega ,sasa angalieni wenyewe wenye tinu yenu mnaiita yanga,.