Huyu ni beki wa AS VITA eti kasajiliwa na Yanga.
Shida kuu kwa timu ya yanga sasa hivi ni safu ya ushambuliaji ndiyo ipo butu, anatakiwa kusajiliwa straiker mwenye uwezo wa kupiga miguu yote na vichwa na pia mwenye uwezo wa kupiga faulo (freekick) na kufunga,Sarpong hana kabisa uwezo huo na anazidiwa kiufundi na wachezaji wengi wa ndani. Yanga wasianze usanii wao kuleta wachezaji wabovu wasio na uwezo na kuanza kuwapamba kwenye magazeti halafu uwanjani wanakuwa hawana jipya kama huyo Abdul razak sijui nani malizieni. sajilini no 9 na 10 wa kiwango cha afrika mashariki, safu ya ushambuliaji ndiyo hamana kitu ndo maana Yanga haina magoli mengi uwezo wao ni kufunga goli moja tu.