ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Ewaah!!Saidia unapoweza kijana, acha uchoyo usio na tija. Ila pia zingatia huruma isizidi sana....
Unanitisha mkuuUkizidisha huruma tegemea kuteseka zaidi...
Maisha yanahitaji ukaksi wakati mwingine hata kuonja damu ya mtu kidogo
Wahi kabla hujawahiwa