Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Duuh, Gwajiboy yeye anarecord porn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh, Gwajiboy yeye anarecord porn
Yupi huyo?Hukumuona yule wa Kilimanjaro aliyefumaniwa akiwa kwa Sangoma; mtu na PhD yake!!!
Yupi huyo?
CCM inaenda kufutika wakiiba kura The Hague alafu hawajui kidhungu
Wajinga kweliWanasiasa wanafki sana nilimuona mmoja anapepeta mchele mwingine anakula daagaa wakulumangia.
Wanawaona wananchi wapiga kura wajianga sana
Ila inauma sana aisee..Afurahie kuongezewa utajiri..hapo wanasubiri milioni 100 za shangingi, milioni 50 za shopping, milioni 20 za.....n.k
Nimejaribu kuchambua Bible kidogo lkn sijaona mahali pameandikwa pombe dhambi... Ila nimeona ulevi na ulafi ndio dhambi.Mgombea ubunge wa Jimbo la Buchosa wilayani Sengerema mkoani Mwanza kupitia CCM, Eric Shigongo James, amejumuika na wazee wa Kijiji cha Nyehunge baada ya kuwakuta wakinywa pombe ya kienyeji aina ya kidugugu ambayo ni maarufu katika maeneo hayo.
Source: Global publisher
NB: Shigongo ni mshirika wa kanisa moja la kilokole linalojulikana kama VCC Mbezi beach .[emoji1]
Tamaa za dunia hazijawahi kumwacha mnafiki/mchumia tumbo yeyote salama...Acha apige mtungi
YIla inauma sana aisee..