Uchaguzi 2020 Shigongo ajiachia kunywa pombe na Wazee wa Buchosa

Uchaguzi 2020 Shigongo ajiachia kunywa pombe na Wazee wa Buchosa

Duuh, Gwajiboy yeye anarecord porn
FB_IMG_16008942606349869.jpg
 
Labda mchungaji wake naye usikute anawinda vipesa vyake tuu.. swala la usafi rohoni hakihusiani.
Mlokoke mwizi na tapeli!!??
Ulokoke una maana nyingine kabisa zama hizi,kama ilivyo "ukweli" kuwa ni matusi.
 
Anajipongeza baada ya kukamilisha kazi ya ukibaka wa kura!!
 
CCM mambo yao hayooo!...hamna jipya. Aibu ni pale mchungaji wake wa kilokole atakapokiri kuwa yule ni muumini wake.., utasikia sadaka, michango, fungu la kumi anatoaga..ila ULEVI TU ataacha taratibu tunamvumilia huhuhu
 
Afurahie kuongezewa utajiri..hapo wanasubiri milioni 100 za shangingi, milioni 50 za shopping, milioni 20 za.....n.k
 
Mgombea ubunge wa Jimbo la Buchosa wilayani Sengerema mkoani Mwanza kupitia CCM, Eric Shigongo James, amejumuika na wazee wa Kijiji cha Nyehunge baada ya kuwakuta wakinywa pombe ya kienyeji aina ya kidugugu ambayo ni maarufu katika maeneo hayo.

Source: Global publisher

NB: Shigongo ni mshirika wa kanisa moja la kilokole linalojulikana kama VCC Mbezi beach .[emoji1]

Nimejaribu kuchambua Bible kidogo lkn sijaona mahali pameandikwa pombe dhambi... Ila nimeona ulevi na ulafi ndio dhambi.
Hivyo mwacheni apige masanga
 
Sitoshangaa hata nikimuona anavuta bangi

shigongo kapitia mengi sana maishani na ktk hayo mapito

yake nadhani ndiko alipojifunzia kutumia hizo mavitu yote.
 
Kwa walokole Watumishi wa Mungu kuingia ktk siasa siyo dhambi kwani tunatarajia kuona wanapeleka mafuta ya Roho Mtakatifu huko. Nchi ikitawaliwa na wenye haki (Wacha Mungu ktk Roho na kweli) Amani na Haki hutawala.

Hata hivyo, nina mashaka; kwa siasa za Tanzania? Inatakiwa uwe umesimama kiroho kweli kweli!

Kuna chombo kimoja cha habari-tafiti kiliwahi fanya uchambuzi juu ya kiwango cha uadilifu, ucha Mungu, n.k. wa waheshimiwa MPs wetu, kilisema:
70% ni washirikina; 20% ni wachawi kabisa; 5% wacha Mungu wa kweli; na 5% hawamo ktk kundi lolote la hapo juu.

Sasa, kwa jumla, Mtumishi wa Mungu unapoamua kuingia ktk arena ya siasa Tanzania, jua kabisa umemfuata SHETANI kwa uchokozi kabisa na unagusa mboni ya jicho lake! Na matokeo yake yanajulikana. Wengi wameharibikiwa kwa mahusiano ya na Bwana Yesu kuharibika kabisa!; kwa maana shetani-ibilisi hanaga masihara na binadamu kwani anajua wakati wa kutumikia adhabu yake jehanamu u karibu mno mno.

Anyway, tuendelee kuwaombea kwa bidii Watumishi wa Mungu hawa waliojitoa mhanga kwenda ku-demonstrate na kupeleka Ufalme wa Bwana Yesu Kristo bungeni.
 
Hata ustadh Mohamed Gharib Bilal ilibidi agonge tu umkomboti alipomsindikiza Pinda kwenye tamasha la utamaduni la Rukwa na Katavi pale Makumbusho, maana hakuna namna !

1605030799086.png
 
Shigongo yuko sawa, maandiko yanasema habari ya walevi na walafi hivyo kunywa pombe si dhambi bali kulewa au kuvimbiwa ndiyo dhambi hapo nimeongelea chakula na pombe
 
Back
Top Bottom