Doubleg Malafyale
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 2,733
- 3,561
Sijaona aliposema kanyimwa mkopo. Pia elimu haina umri. Shingongo kimaendeleo yupo mbali sana hio degree anahitaji tu kuongeza cheti kabatini na heshima mitaan
Hahahaha vyuo vya ghorofa ya tatu magomeniumesoma vyuo vya kata ndo maana unaona ajabu, nenda mzumbe utawakuta wazee shigongo cha mtoto sana.
tembea ujifunze sio kuishia vyuo vya utaalii na mapishi tu.
Ongea machache hii n duniaLibaba lizima halioni hata aibu
hahhaha ndio mkuu, mtu aliye soma vyuo ivo ndo anashangaa mtu mwenye umri wa shigongo kwenda chuo.Hahahaha vyuo vya ghorofa ya tatu magomeni
Mtoa mada ushamba unamsumbua.hahhaha ndio mkuu, mtu aliye soma vyuo ivo ndo anashangaa mtu mwenye umri wa shigongo kwenda chuo.
mawazo yake anajua chuo ni ubishoo, kuvaa kata k, ku hang na mademu na kulewa mwanzo mwisho.
mtu anayejua elimu huwezi shangaa mkuu
Unaweza kuidai CCM ukabaki salama?Hivi ile kesi yake ya kuwadai CCM iliishiaga wapi?
kumjibu Mtoto Ni shida na akili zake za Ki first YearLibaba lizima halioni hata aibu
Hatuendelei kwa kuwa tunaona aibu..Libaba lizima halioni hata aibu