Jamaa kafanya utani tu, msukum niShigongo ametoa surprise msibani kwa Grace Mapunda (a.k.a Tesa). Shigongo ametamka bila hofu kuwa Grace alikuwa mpenzi wangu (mchepuko) . Watu wote (wake kwa waume) msibani wakabaki wameduwaa...
Ni Mbunge Wenu huko buchosaHuyo Shigongo ni nani huko Daslam
Hata simjuiNi Mbunge Wenu huko buchosa
Nadhani hukumsikia au hukumuelewa alisema ana mambo mawili na la tatu ni la utani kwa kuwa wasukuma na wangoni ni watani Hilo la tatu ndiyo hicho unachokizungumzia.Nadhani wengi huwa hatusikilizi kwa makini.Shigongo ametoa surprise msibani kwa Grace Mapunda (a.k.a Tesa). Shigongo ametamka bila hofu kuwa Grace alikuwa mpenzi wangu (mchepuko) . Watu wote (wake kwa waume) msibani wakabaki wameduwaa.
Huyu ndiyo mwanaume sasa, haogopi "kuku" (mke) aliyeko ndani kwa sasa. Maana huyo kuku kafugwa na yeye (Shigongo). Akihoji Shigongo atamsepesha.
Mimi nataka wanaume wote wawe kama Shigongo. Chepuka kwa ubabe na mamlaka, halafu muda muafala ukifika tangaza hadharani kuwa ninachepuka na fulani.
Siyo mwanaume unamuogopa mwanamke. Eboo!
View attachment 3143545
Nikweli nahata mwanzo wa maongezi yake alisema ana mambo mawili nahilo lapili ni utaniJamaa kafanya utani tuu,msukum ni
mtani was yeyote,yaani wa wote
Unatukosea mkuu...😂Huyo Shigongo ni nani huko Daslam
Unaelewa nini kuhusu neno MPENZI?Shigongo ametoa surprise msibani kwa Grace Mapunda (a.k.a Tesa). Shigongo ametamka bila hofu kuwa Grace alikuwa mpenzi wangu (mchepuko) . Watu wote (wake kwa waume) msibani wakabaki wameduwaa.
Huyu ndiyo mwanaume sasa, haogopi "kuku" (mke) aliyeko ndani kwa sasa. Maana huyo kuku kafugwa na yeye (Shigongo). Akihoji Shigongo atamsepesha.
Mimi nataka wanaume wote wawe kama Shigongo. Chepuka kwa ubabe na mamlaka, halafu muda muafala ukifika tangaza hadharani kuwa ninachepuka na fulani.
Siyo mwanaume unamuogopa mwanamke. Eboo!