joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Naona sasa kahamia kwa Kiba, ila aache kulalamika kama iPhone imekushindwa nunua techno, mwisho wa siku mkikaa wote mnaonekana mna smartphone. Shigongo na magazeti yake ni moja ya watu ambayo yanawapaga sana stress wasanii wakifulia, yanchangia sana wasanii wetu kukata tamaa, muangalie ray c, Chid Benz, Saida karoli, Mr nice nk na siku zote wao ni watu wa kuponda hasa mtu anapofall na si kumnyanyua mtu anapofall.
Mimi nina huhakika jamaa ameongeza chumvi siku zote bei ya msanii anapofanya shoo ndani inakuwa ndogo ukilinganisha na nje, tatizo jamaa anaonekana anapenda kuteleza. Naona leo kaamkia kwa kiba anamwaga sifa kibao, haya ila kiba awe makini.
Mimi nina huhakika jamaa ameongeza chumvi siku zote bei ya msanii anapofanya shoo ndani inakuwa ndogo ukilinganisha na nje, tatizo jamaa anaonekana anapenda kuteleza. Naona leo kaamkia kwa kiba anamwaga sifa kibao, haya ila kiba awe makini.