- Feb 10, 2006
- 4,324
- 13,967
Kuna tetesi kuwa Shigongo (wa Global Publishers) na Meya Kimbisa wamechukua form kutafuta nafasi za ubunge.
Shigongo inasemekana anakwenda jimbo la Buchosa na Meya Kimbisa anaenda Jimbo la Dodoma. Kama kuna wadau wamepata uhakika wa habari hizi basi itapendeza wakatupa kwa mapana zaidi.
=========
UPDATES:
Si tetesi tena, confirmed...
Shigongo inasemekana anakwenda jimbo la Buchosa na Meya Kimbisa anaenda Jimbo la Dodoma. Kama kuna wadau wamepata uhakika wa habari hizi basi itapendeza wakatupa kwa mapana zaidi.
=========
UPDATES:
Si tetesi tena, confirmed...