Elections 2010 Shigongo, Kimbisa kugombea ubunge...

Elections 2010 Shigongo, Kimbisa kugombea ubunge...

Ishakuwa 2015 tena?
Si ulitangaza nia kwa ajili ya mwaka huu.

Anyway.
Nakumbuka Shigongo aliutaka ubunge tangu 2005.
Alimwagwa na Marehemu Amina Chifupa kwenye viti maalumu CCM.

Ndibalema hapo pekundu vipi? Mimi nilidhani Viti Maalumu ni kwa akina Mama peke yake kumbe na Midume na yenyewe imo?
 
Hongera Mh mtarajiwa Sh. Sasa masakata ya udaku yatahamia bungeni, kwa hivyo wabunge watarajiwa chungeni sana.

Tunatarajia kila wiki tutapata angalau sakata la mbunge mmoja x wabunge 300 = hapo ni miaka mitano ya uhai wa gazeti
 
Shigongo naye anataka kuwa mbunge, twafwa.

Kuandika soft porn kwa teenagers na watu wenye akili zao si sawa na kuandika sheria za nchi jamani.

Ukishangaa ya Musa utaona ya firauni, mimi nilikuwa nashangaa ya Kubenea earlier this week (who is a thousand times more palatable than Shigongo, albeit with his obvious flaws) sasa nakosa nguvu kabisa nikisikia Shigongo naye eti ni contender.

i really am with you katika kumshangaa huyu mkuu wa udaku, he has tried so hard to polish his style and be in the same league with 'the who's' of this country but has failed miserably only entertaining teenegers, saloons and also read by people who have small minds 'those who discusses people' kama sikosei mara nyingi alimtuhumu sana Marehemu Amina kwa kutangaza nia akiwa na hakika hatoteuliwa, i really hope CCM itampiga chini, unless wanaogopa issues zao kumwagwa kama upupu every other friday
 
Viti maalimu ina categories nyingi kama vile wanawake, vijana etc. Siyo wanawake tu..

No...ni wanawake tu, ndani ya CCM kuna baadhi ya viti maalum vinatengwa kwa ajili ya "Wanawake Vijana" kupitia UVCCM.
 
shigongo ni mzaliwa wa kijiji cha bupandwamhela katika tarafa ya nyehunge, jimbo la buchosa.wazazi wake nawafahamu sana mpaka mauti yalipowakuta na walikuwa jirani na nymbani kwa Babu yangu

kwa mda wa zaid ya miaka miwili amekuwa akisaidia sana vijiji vya jimbo hilo. na amewahi kuileta timu ya mpira wa kijiji alichozaliwa ikakaa dsm kwa wiki miwili mwaka juzi. kwa hiyo kama kweli amekwenda kugombea huko basi anaweza kuukwaa ubunge maana mbunge wa sasa kitarilo alikuwa hapendwi kabisa hasa na kabila la wazinza kutoka kisiwa cha kome, hasa pale tizeba( sasa mkuu wa wilaya) toka kabila hilo aliposhindwa kwenye kula za maoni na kitarilo.

hili ni jimbo lenye ukabila sana, wazinza wakiwana kauli mbiu yao ya ''abazinza twimanye''
 
Nitakuunga mkono First Lady, kwa unao mvuto wa kura, ila shemeji asilie wivu , ukiingia katika SiHASA
 
Ishakuwa 2015 tena?
Si ulitangaza nia kwa ajili ya mwaka huu.

Anyway.
Nakumbuka Shigongo aliutaka ubunge tangu 2005.
Alimwagwa na Marehemu Amina Chifupa kwenye viti maalumu CCM.
Alaa! ndio maana alikuwa anamwandama sana dada wa watu katika vigazeti vyake! CCM kwa kuwa na wagombea wa ajabuajabu hawajambo. Hawa ndio wanaoteremsha hadhi ya Ubunge.
 
Back
Top Bottom