- Feb 10, 2006
- 4,324
- 13,967
KamandaShigongo naye anataka kuwa mbunge, twafwa.
Kuandika soft porn kwa teenagers na watu wenye akili zao si sawa na kuandika sheria za nchi jamani.
Ukishangaa ya Musa utaona ya firauni, mimi nilikuwa nashangaa ya Kubenea earlier this week (who is a thousand times more palatable than Shigongo, albeit with his obvious flaws) sasa nakosa nguvu kabisa nikisikia Shigongo naye eti ni contender.
Nami ngoja nijiandae kutangaza nia 2015:eek2:
Ni kweli Shigongo tagombea Ubunge jimbo la Buchosha na ameshaanza kamani za chini chini huko
He
kweli siasa ni chaka la kuficha maovu na waovu.
Baada ya kuiharibu jamii kwa magazeti yake yasiyo na moral sasa shigongo ameamua kujificha nyuma ya UBUNGE!!!? najua kwa kuwa CCM inapenda watu maarufu basi watampitisha na kushiriki kuiba kura ili ashinde.