Waandishi mbali mbali wa magazeti ya shigongo wamekuwa wakiandika habari zisizo kuwa kichwa wala miguu... Hii inatokana na ukweli kuwa hawakupita shule.. Utakuta habari..STARS WA BONGO MUVI ATEKETEZA LAKI MBILI KUNUNUA KUFULI..(CHUPI)..jaman hii ni habari kweli???suala lingine ni juu ya waigizaji wa movie zetu. NDUGU WAANDISHI WA SHIGONGO si kila muigizaji ni STAR...
Kwamba Kanumba kaonekana Tabata hiyo ndio Tabloid? una akili timamu wewe?Unajua nini kuhusu neno TABLOID NEWSPAPER ....?
Tuanze na hapo kwanza mkuu...
Udaku ni habari zakweli ila zinatolewa bila ridhaa ya muhusika au muhusika hakupenda zijulikane, na siyo majungu uongo na uzandiki. Try again.Nini maana Ya UDAKU!, mbona hata Uingreza haya magazet yapo!! Habari zake ni kama hizo! Mwacheni Shigongo aokoe janga la Ajira ingawa ci asilimia kubwa!
Wewe ndio uipelekwe kozi ya kujitambuwa maana kichwani hazikutoshi, hakuna binadamu mwenye akili timamu anaweza kununuwa magazeti ya Shigongo.
By the way wala hakuhitajiki Elimu yeyote kuwa muandishi wa magazeti ya udaku kwa sababu wasomaji wake ni vilaza watupu na hawajitambui.
Now you're talking.huwa naona vichwa vya habari ...mimi si mdau wa magazeti yasiyo na mbele wala nyuma.
hivi unaonagaKwamba Kanumba kaonekana Tabata hiyo ndio Tabloid? una akili timamu wewe?
Na hapa ndipo watz wengi wanapokosea sana tena sana wana judgekitu bila kufanya uchunguzi....huwa naona vichwa vya habari ...mimi si mdau wa magazeti yasiyo na mbele wala nyuma.
Ushamba unakusumbuwa, mimi naishi UK, sasa Internet ya nini kununuwa magazeti ambayo nikiingia super market yoyote yamejaa bwelele? au unadhani Members wa JF wapo manzese tu?hivi unaonaga
magazeti kama
the sun
the mirror
na new york post wanavyoandika headline zao na habari zilizmo?
jaribu kufuatilia
internet uliyonayo isiwe tu ya kuingia jf
alafu uje ujibu hoja ...
unasubiriwa
Ushamba unakusumbuwa, mimi naishi UK, sasa Internet ya nini kununuwa magazeti ambayo nikiingia super market yoyote yamejaa bwelele? au unadhani Members wa JF wapo manzese tu?
Ushamba unakusumbuwa, mimi naishi UK, sasa Internet ya nini kununuwa magazeti ambayo nikiingia super market yoyote yamejaa bwelele? au unadhani Members wa JF wapo manzese tu?
Wewe ndio uipelekwe kozi ya kujitambuwa maana kichwani hazikutoshi, hakuna binadamu mwenye akili timamu anaweza kununuwa magazeti ya Shigongo.
By the way wala hakuhitajiki Elimu yeyote kuwa muandishi wa magazeti ya udaku kwa sababu wasomaji wake ni vilaza watupu na hawajitambui.
Magazeti ya huyu self proclaimed "mlokole" ni;
5% ukweli-
Mfano matangazo ya dawa za nguvu za kiume, waganga wa kienyeji na vyuo vinavyofundisha secretarial courses
45% uongo -
heading na habari haviendani (mwananchi pia wame adopt hii syste) neno kigogo sijui lina maana gani anymore
50% udaku -
mfano ni version yao ya freemasons.
hapa sijui kama wanafanya makusudi au wao pia hawajui ilo sijui, Ila najua ili kuuza gazeti wanaweza kupindisha habari yoyote ikae kiudaku udaku ili wawapate wasomaji wengi zaidi
Kuhusu waandishi nadhani yuko more focused on profits na waandishi wa ngazi ya cheti wana punguza gharama za uendeshaji, after all si ni udaku na udaku is always about picha na ki habari kifupi kitamu cha kutunga so mtu wa cheti anaweza pia kufanya hii kazi kwa mshahara mdogo ili ''mlokole" apate faida kubwa.
asante kwa USHUHUDA wako mkuu