Hello Anfaal,
Kama mkulima anazalisha sana ila kuna panya buku (wanavunia shambani) na panya wa kawaida (wanavunia ghalani) je huyo mkulima ataiona faida ya juhudi zake za kufanya kazi??????
Watanzania wanafanya kazi, wanatozwa kodi mbili mbili (PAYE na VAT) halafu tunaingia mikataba feki ya Umeme na kufilisi kodi za watanzania. Je huoni tatizo hapo....
Au unaona NAPE NNAUYE ana sera yoyote ya kumsaidia mtanzania yeyote? Sera ipi NNAUYE anayo? Sema hapa JF.
Tunaachia Madini kwa wakwe zetu (wawekezaji) kwa 10%....
Tunawapa wawekezaji Ardhi kubwa, watanzania wanakuwa wamachinga. NNAUYE ni kijana gani asiyejali vijana wenzake, anachumia Tumbo lake tuu. Viongozi wa CCM wanamiliki viwanja kila mkoa na mashamba makubwa makubwa.
Kumbuka kisa cha mashamba kule BURKA, RIZ 1 amerudisha yale mashamba?? Lowasa amerudisha. Kimei (o) wa CRDB
NAPE anashambulia mkombozi wa watanzania, Shujaa anayewafumbua watanzania macho. NAPE unataka watanzania waendelee kulala ili uendelee kushiba na kuvimbiwa???