Oooohoooo, watanzania kwishney
Thamani ya shilingi yazidi kuporomoka dhidi ya US $.
Bei za vitu zitazidi kupanda bei
Kipato cha mtanzania kipo pale pale au kipato kinaweza kupungua.
Sasa Tanzania tumefika pabaya, haya ni matokeo ya kutowajibika na ufisadi
Mission town (kimjini mjini)
Watoto wa vigogo wachache wananeemeka wakati mamillioni ya watanzania wanataabika
Thamani ya shilingi yazidi kuporomoka dhidi ya US $.
Bei za vitu zitazidi kupanda bei
Kipato cha mtanzania kipo pale pale au kipato kinaweza kupungua.
Sasa Tanzania tumefika pabaya, haya ni matokeo ya kutowajibika na ufisadi
Mission town (kimjini mjini)
Watoto wa vigogo wachache wananeemeka wakati mamillioni ya watanzania wanataabika