Hata kama mmetengua uteuzi wake lakini Marco Ng’umbi kasema ukweli mchungu.
Kauthibitishia Umma mambo matatu-;
1. Kathibitisha kuwa Maccm hatakubaliki,
2. Kathibitisha kuwa maccm huwa yanaiba Kura,
3. Kathibitisha kuwa Serikali huwa inateka watu na kuwatupa kwenye mapori.