Pre GE2025 Shija Shibeshi: Nilinusurika kutekwa wakati narudisha fomu uchaguzi wa 2020 nilipokuwa nagombea Ubunge jimbo la Misungwi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

kahembe

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2015
Posts
227
Reaction score
310
Kutekana sio vizuri tupendana kama Yesu na Babae mbinguni
 
CCM hawafungani jela ila wanahamishana vitengo tu ....
 
Hata kama mmetengua uteuzi wake lakini Marco Ng’umbi kasema ukweli mchungu.

Kauthibitishia Umma mambo matatu-;

1. Kathibitisha kuwa Maccm hatakubaliki,

2. Kathibitisha kuwa maccm huwa yanaiba Kura,

3. Kathibitisha kuwa Serikali huwa inateka watu na kuwatupa kwenye mapori.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…