Samani lakini hiv wewe ni jinsia gani?Kuna watu mnaakiri
Yeyemwenyew anajua baba lao
kelphin kepph
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samani lakini hiv wewe ni jinsia gani?Kuna watu mnaakiri
Yeyemwenyew anajua baba lao
kelphin kepph
ManSamani lakini hiv wewe ni jinsia gani?
Kwanini uliweka avatar ya kike?Man
kelphin kepph
ahahahahahahaha.Ngoja tuanze ... Kwa nini Daimondi umetumia aya nyingi kumuelezea na kiba aya moja tu.
nadhani itakua zaid ya matikiti maana mm nilikula ugali mlenda xmas lakin nawaza fresh tu sio kama hiv.Hapo mlengwa mkuu ni Diamond platnumz kwa huu Uzi na siyo Ali Kiba.
Huja balance hata kidogo umeegemea upande mmoja ndugu,Sijajua imewaza nini au X_Mass ulikula matikiti.
Mtoe kiba hapoAliKiba:
huyu jamaa ni mwanamuziki mzuri kwakweli. anafanya kazi kivyake na hana shobo za kijingajinga. anatoa nyimbo anapoona inafaa kufanya hivyo. anapondwa kweli humu JF na watu wanaojiita ni magreat thinkers. ukiziangalia sana sababu zenyewe za kupondwa kwake, utagundua kuwa shida ni wivu, chuki, ushamba, kukosa akili, kukosa kazi za kufanya, kuchanganyikiwa na hali ngumu ya maisha kutokana na bro magu kubana sana, ushabiki wa kijinga,kufake ugreat thinker, shobo na kufuata mkumbo!! pamoja na yote hayo, jamaa (alikiba) yuko cool na anapiga kazi tu kwa kadiri anavyojaaliwa na Muumba. pesa ya kula anatengeneza, tena ya kuwazidi wengi tu humu!!
shikamooo kubwa kwako alikiba.
diamond:
huyu jamaa ni mwanamuziki hodari kabisa. anajua kukitumia kipaji chake vema tu katika kujitengenezea mpunga. hakati tamaa na amefanikiwa kuviruka viunzi kadhaa vya watu waliojaribu kumkwamisha. humu JF anapendwa mno na kila anachofanya lazima asifiwe sana tu. hata wimbo wa BABA LAO nao ulisifiwa sana na kuonekana kuwa ni wimbo bora kabisa. ana uswahili flani kama kupenda kurusharusha vijembe kwa wenzake n.k.
nampa shikamoo kwa ujanja wake uliotukuka wa kuweza kuwabadilisha watu kijanja sana. alipoona watu wengi humu wanamchukia makonda basi akatumia ufahamu wa kupendwa kwake humu kubadilisha hilo. alikuja na wimbo wa BABA LAO na humo akawaambia wanaJF kuwa makonda na mwakyembe ni mababa yao.....sasa wamelikubali hilo na wanauimba huo wimbo vizuri na kwa heshima kubwa.
alipoona watu wanamchukia sana tulia ackson humu, juzi akaenda huko mbeya kupokelewa nae.......sasa hivi wanaJF wako bize kurusha threads za kuzungumzia kukubaliwa kwa tulia na uwezekano wake mkubwa wa kumng'oa Sugu.
huko nyuma, wakati wa sakata la vyeti na habari za bashite zimepamba moto humu JF, aliwahi kutoa kibao 'bora nikae kimya' ambako moja ya mistari yake aliwashangaa watu (JF bila shaka) wakibishana tu mambo ya vyeti badala ya kwenda kutafuta senti. ghafla wanaJF wakatulia na kubaki wakiuimba huo wimbo.
shikamoo diamond!!!
imetosha sasa na hizo swaga. mwaka wa ngapi huu mnamponda kwa mtindo huohuo na bado jamaa yupo tu!Alikiba anafaamika na mataifa ya mengi ya nje sema hataki tu aonekane [emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
imetosha sasa na hizo swaga. mwaka wa ngapi huu mnamponda kwa mtindo huohuo na bado jamaa yupo tu!
mkuu na mwili wote huo unajificha kwenye mkaranga halafu unategemea usionekane?!!!!!!! acha kutuchekesha bwana!
mkuu na mwili wote huo unajificha kwenye mkaranga halafu unategemea usionekane?!!!!!!! acha kutuchekesha bwana!
ha ha ha ha ha!Mwaka ndio umeanza huu badala ya kukaa na kuwaza ni namna gani tutatoboa kimaisha, tunakwenda kuwajadili watu wenye mafanikio yao!! Vijana tunafeli wapi?!!
ᴮʸ cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᵈ
nimejaribu kuapply knowledge ya fasihi kidogo......nimekumbuka forms 3&4. utaielewa tu ukiangalia na post yako niliyoijibiamo (in any sukuma's voice)!